Mi naona miwaya iko live kwa bro amechukua muda gani toka mwsho wa kukutana kimwili na huyu mdaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wana do na si unajua excitements kaka labda alikuwa anasafiri kwenye salt sea. Ila dada alikuwa kwenye dose ya milele.Kaka yako nae hajaukwaa kweli??
Au walikua hawa do?? mie sijaelewa hii story dada Sky???
kama walikua hawaja do,then kaka yako ni mfano wa kuigwa , wanaume wa JF wajifunze sio mnakutana na mdada Vuuuup Kesho yake mna….??
Wewe!!!!!!!!!!Mkuu ukishajua kuna moto rafu ya kazi gani alafu unaweza ku apply KY hata upige rafu vp mchubuko hautokei
Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.
Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.
Wameanza dating, kwa miezi sita, kumbe dada ni muathirika na yuko kwenye dawa pendwa. Wakiwa pamoja alimlia timing kaka akiwa msalani mdada anabugia vidonge.
Kaka alishtukia hilo, sikumoja wakiwa Bagamoyo weekend, kaka alijifanya anakwenda msalani, alijiegesha kwenye mlango wa choo, ile dada anafungua handbag na kuchukua dawa jamaa amejaa.
Mahusiano yaliishia hapo. Kaka alijicheck yuko poa. Alimshukuru Mungu maisha yakaendelea.
Si lazima iwe saa mbili mbili kamili on time between saa mbili na saa tatu lazima mtu atatoka kidogoUtunzi mbovu kweli. Dawa unazozungumzia zina muda maalum. Sasa iweje zofanyiwe timing
Sent using Jamii Forums mobile app
Da Jane alimtaja mhusika, leo zamu yako kumtaja wa kike utuokoe wana JF wenzako!.Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.
Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.
😂😂😂😂😂 Aspirin ndo anakufundisha maneno ya kihuni haya ?kwenye salt sea
Zipi?
[/QUOTE
Za hapa na pale😂😂😂
Utamu.Ohooo...
Basi chagua moja, malaria ama huo utamu
Unataka kusemaje labda?Alimpatia humu humu JF!! Alipompatia nakilichomtokea vinaendana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app