paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Bora mnanvyo ungaunga picha Maana si Kwa aibu hiyo
Tulisema mapema, Watanzania ni watu wanaoona mbali Sana kuhusu mienendo ya wanaotaka kuwaongoza, ni wadadisi wa mambo, unaweza ukaja na Moto na Moto huo ukaishia njiani, ndio kama huyo mgombea wenu, ni aheri angelikuwa Nyalandu
Tulisema mapema, Watanzania ni watu wanaoona mbali Sana kuhusu mienendo ya wanaotaka kuwaongoza, ni wadadisi wa mambo, unaweza ukaja na Moto na Moto huo ukaishia njiani, ndio kama huyo mgombea wenu, ni aheri angelikuwa Nyalandu