Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Tabora: Tundu Lissu (CHADEMA), azindua Kampeni Kanda ya Magharibi katika viwanja vya Chipukizi

Usilinganishe Ethiopia na Tanzania. Njoo kahama watu wanakula mchele na kusaza ndio ulinganishe na nchi ambayo ina ukame miaka 40.
Haki za binadamiu zipi zinazominywa? Watu wanashinda kwenye vijiwe vya kahawa mpaka saa nne usiku wanajadili siasa.
Kahama ipi ulipo? Nyasubi, Mhongolo, Masaki ama Nyihogo? Na wewe ni mkulima? Nenda Chambo, Kilago,Chona, Ngaya, Nyamilangano na vijiji vingine nchi hii kote huko wakulima wanalia bei ya mpunga wao. Unajua ni kwa nini? Hakuna wafanyabiashara wa kununua mazao yao, wanaogopa kuja Tz kubambikizwa makosa na TRA, wanaogopa kuleta hela zao. Lissu anataka afumue TRA na mfumo huu wa one man show ili mambo yote yaende kwa haki. Sasa wewe kaa hapo Nyasubi ukisubiri jioni umpe shemeji 2000 akaje na kilo 3 za mchele bila hata kujiuliza anayeumia ni mkulima anayetegemea mazao yake kuendesha maisha. Inzi wa kijani bwana, think out of your circumference, there are cries emanating from your party's theft and unlawful attempts to oppress freedom and justice by intervening the government systems. Lissu is the one to restore all to normal functioning with clear separation of power among the government organs.
 
Subpost 4 - Tabora ( 451 X 640 ).jpg
Subpost 3 - Tabora ( 451 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Tabora ( 451 X 640 ).jpg
Instagram media - CErYJ-KBeOP ( 451 X 640 ).jpg
 
Kwani mradi wa maji kutoka Mwaanza kwenda Shinyanga si umeanza tokea awamu ya nne? Jambo ambalo mnatakiwa kujua ni kuwa ni utekelezaji wa Ccm kuwapatia maendeleo wananchi tokea tunapata uhuru.
Wenzio wanasema ni kishindo cha awamu ya tano ww unadai ni KIkwete hahahah ngoja wakusikie.
 
Dogo unanichekesha sana. Tayari tenda ya kumalizia Isaka tu mwanza. Na Morogoro tu Makutupora imeshatangazwa. Nafikiri unasali kila siku asimalize huu mradi. Lakini atamaliza kwa nguvu za Mungu.
Mradi wa JNHPP utakamilika soon. Tumuombe Mungu tu wala usihofu.
Hivi kusema kuwa unataka taifa liwe na viwanda ndio kusema serikali ndio ijenge viwanda? Viwanda vimeongezeka sana. Na mkoa wa kutolea mfano ni Pwani.

Kutangaza tender Ni jambo rahisi kuliko yote dunia hiii, kutekeleza ni jambo jingine kabisa. Sina chochote cha kusali maana sina nitakachopoteza kwa uwepo wa huo mradi. Mradi wa SG utakuwa soon ya lini? Maana huo mradi wa SGR wenyewe tuliambiwa kipande Dar-Moro kitakuwa tayari soon toka 2017, ila mpaka sasa mwaka mmoja mbele bado zinatajwa asilimia tu kipande hicho kikamilike.

Utamuita nani awekeze viwanda kwenye nchi ambayo maamuzi ya nchi yanategemea utashi wa rais? Ni mwekezaji gani wa viwanda wa maana haoni serekali hii inavyosumbua sekta binafsi chini ya awamu hii na kuhodhi biashara? Rejea ndege za fast jet, total juzi imefungasha nk.Au unadhani wawekezaji wa viwanda ni sawa na viongozi wa upinzani waliohamia ccm kuunga juhudi? Ukitaka kujua ni ngumu kuita wawekezaji wa viwanda, fuatilia JK aliyekuwa anazunguka dunia nzima kusaka wawekezaji na kuishia kuwapata kiduchu. Kama huko pwani kungekuwa na viwanda vya kutambia, neno Tanzania ya viwanda lisingekauka kwenye kampeni hizi.
 
Kwani mradi wa maji kutoka Mwaanza kwenda Shinyanga si umeanza tokea awamu ya nne? Jambo ambalo mnatakiwa kujua ni kuwa ni utekelezaji wa Ccm kuwapatia maendeleo wananchi tokea tunapata uhuru.

Kwani ni chama gani kingine kimekaa madarakani muda wote mpaka useme ni jukumu la chama kingine kuleta maendeleo? Ama hujui uanoongea nini?
 
Nashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja

Unafikiri ratiba inapamgwa na yule seneta wa USA- AJEMMADU. Ujanja wa kupiga picha za kampeni kimagutugutu haulipi na hautawasaidia cdm. Msema kweli ni sanduku la kura. Lissu na Mwalimu waache kufuatana kama kumbikumbi. Tunataka tuone uwezo wa Mwalimu kama anaweza kuwa hata mjumbe wa myumba kumi .
 
Back
Top Bottom