lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Sikuwai kifikiri kama mbowe anatisha kiasi hiki,kwa jinsi anavyolindwa na askari wengi ni jambo la kushangazaHili jambo limenishangaza mno ! hivi ni kwanini lakini ? Bunduki nje nje , wamelenga kumtisha nani ?
Sent using Jamii Forums mobile app