Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye rufaa ya Mbowe na Esther Matiko - Machi 6, 2019

Wabunge, Freeman Mbowe wa jimbo la Hai na Esther Matiko wa jimbo la Tarime Mjini wameshafikishwa mahakamani kusubiri kuanzwa kusikilizwa kwa rufaa yao.Timu ya waandishi tutakuwaletea kile kinachojiri kutoka mahakamani

Updates

Mbunge wa Jimbo la Hai ambaye pia Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman Mbowe akiwa Mbunge mwenzake Esther Matiko wakiwa kizimbani tayari .

Siamini kama issue hapa ni kukiuka masharti ya dhamana. Nafikiri kuna kitu zaidi ya hilo. Maana nakumbuka kama Esther Matiko alikwenda Burundi kwenye mashindano ya wabunge wa Afrika Mashariki. Nafikiri ni ile kauli ya Jiwe kwamba wapinzani wasumbufu waishie tu magerezani. Lile nadhani lilikuwa ni agizo tosha kwa mahakama kuwafunga akina Mbowe
 
Wewe ni wa kipande ipi unajua udhaifu wa Watanzania?

Let me tell you kwamba wewe ndiyo MUOGA NO. 1 hapa nchini ambae umekwepa hata utaifa wako kwa kujipa nafsi ingine kama mtu wa nje ya TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajuaje kama mimi Mtanzania,

Ama sababu naandika lugha ya Kiswahili??

Inawezekana pia kuwa mtanzania nisiye ongozwa na serikali ya Tanzania!! Ama unasemaje?
 
Asante GENTAMYCINE


Tumechoka sasa na hili neno la Ulinzi Mkali kwani kila mara wakipelekwa tu hapo Kisutu lazima mliseme. Ulinzi ukiwa siyo Mkali na likitokea la kutokea hapo tena mtakimbilia hapa hapa kusema kuwa Tanzania haina Ulinzi. Waswahili tuna taabu na matatizo katika uwezo wa Kufikiri, Kuchanganua na Kutatua mambo Kihoja na Mantiki. Na wala haiitaji ' akili ' kubwa kujua ni kwanini kwa Watu maarufu na wakubwa kama hao Ulinzi huwa unakuwa ' beefed up ' kama hivyo. Na huwa siyo kwa hao tu Wanasiasa bali kama uko makini hata akina Habinder Seth na James Rugemalira au Malinzi na Mwesigwa wa TFF nao wakipelekwa hapo hali huwa siyo tofauti na hiyo. Tupunguze Majungu na ' Uanaharakati ' wa Kipumbavu unaongozwa na Chuki tu za Siasa zetu na tuache Sheria ichukue mkondo wake na kama ni kutoka watatoka tu hata kama kuna Watu watabana.
 
Siamini kama issue hapa ni kukiuka masharti ya dhamana. Nafikiri kuna kitu zaidi ya hilo. Maana nakumbuka kama Esther Matiko alikwenda Burundi kwenye mashindano ya wabunge wa Afrika Mashariki. Nafikiri ni ile kauli ya Jiwe kwamba wapinzani wasumbufu waishie tu magerezani. Lile nadhani lilikuwa ni agizo tosha kwa mahakama kuwafunga akina Mbowe

Kesi yenyewe ni kama wame bambikiziwa ,walio fanya Mauaji wanapeta tu Uraiani ..
 
Back
Top Bottom