Siamini kama issue hapa ni kukiuka masharti ya dhamana. Nafikiri kuna kitu zaidi ya hilo. Maana nakumbuka kama Esther Matiko alikwenda Burundi kwenye mashindano ya wabunge wa Afrika Mashariki. Nafikiri ni ile kauli ya Jiwe kwamba wapinzani wasumbufu waishie tu magerezani. Lile nadhani lilikuwa ni agizo tosha kwa mahakama kuwafunga akina MboweWabunge, Freeman Mbowe wa jimbo la Hai na Esther Matiko wa jimbo la Tarime Mjini wameshafikishwa mahakamani kusubiri kuanzwa kusikilizwa kwa rufaa yao.Timu ya waandishi tutakuwaletea kile kinachojiri kutoka mahakamani
Updates
Mbunge wa Jimbo la Hai ambaye pia Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman Mbowe akiwa Mbunge mwenzake Esther Matiko wakiwa kizimbani tayari .
Huo ushahidi ulitolewa wakati dhamana inafutwa au ni ushahidi mpya??Nimesoma mahali kumbe Esther alitumwa na Spika kwenda Burundi. Wawafutie hiyo adhabu. Imetosha kwa kweli.
Unajuaje kama mimi Mtanzania,Wewe ni wa kipande ipi unajua udhaifu wa Watanzania?
Let me tell you kwamba wewe ndiyo MUOGA NO. 1 hapa nchini ambae umekwepa hata utaifa wako kwa kujipa nafsi ingine kama mtu wa nje ya TZ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi wa zamani ni upi wewe Mh kiharusi?Huo ushahidi ulitolewa wakati dhamana inafutwa au ni ushahidi mpya??
Na anayebariki! Teh teh! Hujachukua kadi ya Kielectronic ya Chama Tawala?
Viongozi was Chadema Wahukumiwe kwa Haki Ili CCM ibarikiwe!
Tumechoka sasa na hili neno la Ulinzi Mkali kwani kila mara wakipelekwa tu hapo Kisutu lazima mliseme. Ulinzi ukiwa siyo Mkali na likitokea la kutokea hapo tena mtakimbilia hapa hapa kusema kuwa Tanzania haina Ulinzi. Waswahili tuna taabu na matatizo katika uwezo wa Kufikiri, Kuchanganua na Kutatua mambo Kihoja na Mantiki. Na wala haiitaji ' akili ' kubwa kujua ni kwanini kwa Watu maarufu na wakubwa kama hao Ulinzi huwa unakuwa ' beefed up ' kama hivyo. Na huwa siyo kwa hao tu Wanasiasa bali kama uko makini hata akina Habinder Seth na James Rugemalira au Malinzi na Mwesigwa wa TFF nao wakipelekwa hapo hali huwa siyo tofauti na hiyo. Tupunguze Majungu na ' Uanaharakati ' wa Kipumbavu unaongozwa na Chuki tu za Siasa zetu na tuache Sheria ichukue mkondo wake na kama ni kutoka watatoka tu hata kama kuna Watu watabana.
Daah hako kadada kametimiza miezi mitatu bila queechy yaan😋😋🤔
Mazeli wake hajawahi timiza kama huyo uliye mtajaDaah hako kadada kametimiza miezi mitatu bila queechy yaan
Wee Mama Keagan tunajua huogopi kabisa bunduki..jamaa humo ndani ya nyumba yenu bunduki ni kama toy tu..
Ukiona Mtu anabeba silaha pasipostahili ,hizo ni dalili za uoga.
Mother wako kumbe yeye ni kila sikuDaah hako kadada kametimiza miezi mitatu bila queechy yaan😋😋🤔
Siamini kama issue hapa ni kukiuka masharti ya dhamana. Nafikiri kuna kitu zaidi ya hilo. Maana nakumbuka kama Esther Matiko alikwenda Burundi kwenye mashindano ya wabunge wa Afrika Mashariki. Nafikiri ni ile kauli ya Jiwe kwamba wapinzani wasumbufu waishie tu magerezani. Lile nadhani lilikuwa ni agizo tosha kwa mahakama kuwafunga akina Mbowe
Daah hako kadada kametimiza miezi mitatu bila queechy yaan😋😋🤔
Huyo makengeza najua hii miezi mitatu wanaume walikuwa wanachezea tu maRindaw🤭🤭Mother wako kumbe yeye ni kila siku
SWISSME
Jingine mamvi amerudi nyumbaniAkili yako ndipo ilipo gotea ,unawaza Ngono tu 🙄