Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
kama naiogopa ningewezaje kuimiliki ?
kama naiogopa ningewezaje kuimiliki ?
huwa sijibu ujinga , huyo mtu wako ananikumbuka vizuri tu .
Word up...Tumechoka sasa na hili neno la Ulinzi Mkali kwani kila mara wakipelekwa tu hapo Kisutu lazima mliseme. Ulinzi ukiwa siyo Mkali na likitokea la kutokea hapo tena mtakimbilia hapa hapa kusema kuwa Tanzania haina Ulinzi. Waswahili tuna taabu na matatizo katika uwezo wa Kufikiri, Kuchanganua na Kutatua mambo Kihoja na Mantiki. Na wala haiitaji ' akili ' kubwa kujua ni kwanini kwa Watu maarufu na wakubwa kama hao Ulinzi huwa unakuwa ' beefed up ' kama hivyo. Na huwa siyo kwa hao tu Wanasiasa bali kama uko makini hata akina Habinder Seth na James Rugemalira au Malinzi na Mwesigwa wa TFF nao wakipelekwa hapo hali huwa siyo tofauti na hiyo. Tupunguze Majungu na ' Uanaharakati ' wa Kipumbavu unaongozwa na Chuki tu za Siasa zetu na tuache Sheria ichukue mkondo wake na kama ni kutoka watatoka tu hata kama kuna Watu watabana.
Ibarikiwe na nani???Viongozi was Chadema Wahukumiwe kwa Haki Ili CCM ibarikiwe!
YapiLeo wataachiwa na Kushinda kesi
Trust Me
Mbowe kapwaya Sana
kabwaga manyanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa nami nilionaNimesoma mahali kumbe Esther alitumwa na Spika kwenda Burundi. Wawafutie hiyo adhabu. Imetosha kwa kweli.
Chezea custody, wewe!Leo wataachiwa na Kushinda kesi
Trust Me
Mbowe kapwaya Sana
kabwaga manyanga
Sent using Jamii Forums mobile app