Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye rufaa ya Mbowe na Esther Matiko - Machi 6, 2019

Tumechoka sasa na hili neno la Ulinzi Mkali kwani kila mara wakipelekwa tu hapo Kisutu lazima mliseme. Ulinzi ukiwa siyo Mkali na likitokea la kutokea hapo tena mtakimbilia hapa hapa kusema kuwa Tanzania haina Ulinzi. Waswahili tuna taabu na matatizo katika uwezo wa Kufikiri, Kuchanganua na Kutatua mambo Kihoja na Mantiki. Na wala haiitaji ' akili ' kubwa kujua ni kwanini kwa Watu maarufu na wakubwa kama hao Ulinzi huwa unakuwa ' beefed up ' kama hivyo. Na huwa siyo kwa hao tu Wanasiasa bali kama uko makini hata akina Habinder Seth na James Rugemalira au Malinzi na Mwesigwa wa TFF nao wakipelekwa hapo hali huwa siyo tofauti na hiyo. Tupunguze Majungu na ' Uanaharakati ' wa Kipumbavu unaongozwa na Chuki tu za Siasa zetu na tuache Sheria ichukue mkondo wake na kama ni kutoka watatoka tu hata kama kuna Watu watabana.
Word up...
 
Back
Top Bottom