ha ha nenda kwa mwingila kalie tena zero brain wa karomijeYou're a CERTIFIED FOOL.
ha ha nenda kwa mwingila kalie tena zero brain wa karomijeYou're a CERTIFIED FOOL.
Hapo unaongea kama mlei. Dhamana ilifutwa baada ya mahakama kujiridhisha pasi na shaka kuwa mbowe na matiko walikiuka masharti ya dhamana.Dhamana ya Mbowe na Matiko ilifutwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kile kinachotajwa kuwa walikiuka masharti ya dhamana kwenye kesi ya jinai inayowakabili pamoja na viongozi wengine waandamizi Wa CHADEMA.
Kuandamana ni haki kikatiba. Acheni ujinga nyie wahutuHuyo mama mwenye watoto nani alimtuma aende kwenye maandamano badala ya kunyonyesha ...si alijidai kamanda?
Lowasa ni mnafiki tuEwe Edward Ngoyai Lowassa, nimekuita kwa majina yako ninayo yafahamu, nakuomba kesho uende ukamsalimie FREEMAN MBOWE, kule mahakamani. Hapo, utathibitisha kuwa, kuwa vyama tofauti si ugomvi. Na hasa ukizingatia kuwa, huko nyuma ulikuwa unakwenda mahakamani kuwajulia hali!
Ndugu yangu nchi hii acha tu, ajabu kisutu nilifikishwa ving'ora vya msafara kabisa utadhani gaidi kumbe ni mkulima wa bamia mbutu tu ambapo Siro angenipigia simu kwa vocha ya jero tu ningefika central na kwenda mahakamani hata kwa mguu tu.... Nchi ina siasa kali sana kuliko kitu chochote kile..nilisoma jinsi Yericko Nyerere alivyokamatwa nilishangaa na kusikitika.
..inajulikana he is not a violent criminal lakini anakamatwa kwa namna ambayo unaona ajali inaweza kutokea na kusababisha madhara makubwa.
Msingi wa kesi ndo uliowaweka ndani? Hata wewe unaweza kubambikiwa kesi ukapelekwa mahakamani na ukapewa dhamana ukivunja masharti ya dhamana unaswekwa rumande bila kujali kesi uliyoshtakiwa ni ya kweli au siyo kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haeleweki. Mfadhili Mbuzi atakupa maziwa kuliko Binadamu! Shukrani ya Punda MatekeLowasa ni mnafiki tu
Spika ni shetani ni lucifel huyo mama mwenye watoto wadogo amwewekwa ndani kwa sababu ipi kwani mtu alitumwa na spika na barua iliandikwa kwa nini anadharauliwa kwa sababu kawa kibaraka wa mihimili mingine spika kaisha kawa dembe dembe hopeless kabisa utafikiri atakuwa spika milele mpuuzi sana
Silaha zipo kwa ajili ya ulinzi, Kwenye mitihani ya NECTA kunakuwa na bunduki sembuse Mahakamani?Hili jambo limenishangaza mno ! hivi ni kwanini lakini ? Bunduki nje nje , wamelenga kumtisha nani ?
Mkuu Froida swali langu halihusiani na hayo unayosema! Spika alitoa ruhusa kwa Mh Matiko kufanya kazi ya kamati ya bunge. Issue ni kwanini mahakama imuone Mh Matiko kadharau masharti ya dhamana wakati ana barua ya Spika? Jibu langu likawa ni kutokana na mahakama kutojulishwa na kutoa ruhusha kwa Mh Matiko kusafiri kikazi hivyo kukiuka masharti ya dhamana. Ndiyo hayo mkuu sina linguine.
Je mitatu mahakama bado haikuendelea kujua kwamba huyo Matukio alipewa ruhusa na spika? Tukisema rais anazitumia mahakama kukomoa wapinzani wake tunakosea?
Mkuu swala sio kupewa ruhusa na Bunge bali kufuata utaratibu wa mahakama kuhusu masharti ya dhamana. Sio kazi ya mahakama kuangalia nani kapewa ruhusa bali mshitakiwa mwenyewe kuijulisha mahakama kuwa amepewa ruhusha na kuiomba ruhusa. Ni kweli kulikwa na maswali mengi kuhusu maamuzi ya mahakama kufuta dhamana.
Hamna cha ruhusa wala nini bali mahakimu wasio na weledi kutii maagizo machafu ili wapandishwe vyeo. Sasa na hiyo mahakama kuendelea kuona ni sawa kesi iliyoko mahakamani mtuhumiwa kuendelea kuripoti polisi kila wiki huoni bado ni ushenzi huo huo?
Mkuu nimeisha sema incompetence ya Hakimu ni swala kuhimu ila narudia mahakama haihusiki na ruhusa ya Ndugai. Eti Ndugai akitoa ruhusa basi na masharti ya dhamana hayapo.