Hoooo! Nguvu ya umma, maneno mengi tu.hiyo ndio nguvu ya umma?.harafu naona mnasifiana kimsimu cha mchina kwa nini msiisifie serikali ya ccm kwa kuboresha mawasiliano kiasi kwamba tunapata mambo fasta namna hii?.hakika asiyeweza kumshukuru binadamu mwenziye hata mungu hawezi kumshukuru.