Yaliyojiri leo Arusha - Picha na video

Tafuta hoja zenye mashiko mtu hataki kufuata sheria unataka aachiwe kisa KUB , haiwezekani ! tunajua amedhalilishwa ila ajifunze kulikuwa hakuna jinsi

Je pale Mahakama ilipotoa amri ya Chenge kukamtwa kwa kutofika mahakamani na Jeshi la Polisi kutofanya hivyo hadi alipofika mwenyewe mahakamani ilikuwa ni kufuata sheria au la? Au kwa kuwa Chenge ni Fisadi kutoka cha ma cha Magamba basi alikuwa juu ya sheria?
 
Chadema iko juu bana, Mbowe ni mwanamapinduzi aliyekomaa, pamoja na hayo yote wanayomfanyia bado anatabasam na kucheka kwa furaha... freedom is coming...
Anatabasamu kwa vile anajua yeye si mhalifu,wahalifu ni Polisi na mahakama. hebu angalia hizo picha sura ipi inajionyesha kabisa kuwa ni ya kihalifu? hata mtoto wa chekechea hashindwi swali hilo. Wahalifu ndio wafunikao sura zao
 

Attachments

  • BASIL YONA.JPG
    BASIL YONA.JPG
    17.3 KB · Views: 47
Last edited by a moderator:
Mkuu madudu haya hayako p[olisi tu...Mfano Manispaa ya Arusha ilishitakiwa ikidaiwa mil 3, mdai akashinda kwa mshangao wa wengi mwanasheria wa Manispaa akakatarufaa na kumtafuta wakili na kumlipa mil 6, sasa jiuli kama unaakili unaweza kukata rufaa iliitakayo kugarimu mil 6 na ili ukoe mil 3...
Hawa wana maghamba ni vichaa bwana,sijui tusemeje tena wanatupeleka pabaya!!!!!!!!!!
 
You can fool some people sometimes but you can not fool all the people all the time. Mie ninachokiona kwa sasa tunafanya siasa kama ushabiki wa kwenye soka. Kuna upuuzi wa wazi kabisa unafanywa na serikali iliyopo madarakani lakini kuna watu wanajifanya hawaoni na kuendelea kushabikia huo upuuzi eti tu kwa sababu wao ni CCM. Vilivile kuna mijitu mingine iko CDM na kuendelea kushabikia tuu hata kama ni upuuzi. Tufike mahali sasa tuache ushabiki na kuangalia nini mustakabali (vision) wa nchi yetu. Tuweke maslahi ya nchi mbele badala ya kushabikia upuuzi. Kamatakamata inayoendelea sasa ya viongozi wa upinzani inapaswa tuikemee sisi wote kwani inaonyesha udhalilishaji wa hali ya juu kwa viongozi wetu. Hao tunaowashabikia machafuko yakitokea wao watatukimbia na kutuacha tukiuwana.
Viongozi wetu waliomadarakani hawana mpango kabisa na maendeleo ya nchi yetu. Tunapolalamikia ugumu wa maisha wao hawajui maana hata bei za vitu hawazijui. wana allowances kibao ambazo hawezi kuona ugumu wowote wa maisha. Hili liko wazi kabisa kwani tunaishi nao katika jamii zetu. Ninachoomba watanzania wenzangu ni kwamba tuweke Utaifa mbele nikiwa na maana kwamba tuangalie ni namna gani tunaweza kuzitumia rasilimali zetu kiustaarabu ili zitusaidie sasa na hata vizazi vijavyo.
Anayofanya Obama leo si kutoka kwenye itikadi ya chama chake bali ni kutekeleza majukumu yaliyo kwenye mustakabali wa taifa lao.Lengo la vyama vyao ni ufahali kuongoza nchi hiyo kama mchango wa kutekeleza mipango waliyojiwekea tangu enzi za akina George Washington" unaweza kushangaa ukakuta kwamba suala la kulaani na kuangamiza ugaidi limenza hata kabla ya bushi jr. Lakini tumeona jinsi Obama alivyoliendeleza bila kujali itikadi ya chama.
Shime watanzania wenzangu bila kujali itikadi za vyama vyetu, tuungane kukemea maovu, ubadhilifu au uongozi mbovu unaoendelea. Kwa sababu hiyo hatutasogea kabisa. Mfano uko wazi kabisa. Tukianza na awamu yakwanza hadi hii ya nne utaona kuwa kila mmoja alikuwa na priorities zake(nyerere,mwinyi,mkapa,******). Ninaamini tukiungana pamoja tutaweza kujenga mustakabali imara wa taifa letu.
 
Kusema kweli mimi najiuliza lkn jibu sijapata... Hivi ktk wizara ya mambo ya ndani hakuna hata mtu mmoja wa kutoa ushauri mzuri ili kuepusha aibu ktk kushughulikia suali hili? Hivi waziri mkuu Mh Pinda (kidogo namwona anatumia kichwa kufikiri) hakuliona tatizo katika uamuzi huo, na kuzuia hatua za kisiasa kuchukuliwa? Hivi ktk chama chetu kinachotawala, hakuna hata mmoja, mwenye busara, wa kutahadharisha kuwa siasa isiingizwe ktk sheria? Hivi na huko bungeni mwenye hekima kuliko wote ni Bi Makinda peke yake? Mbona maamuzi ya aibu yanazidi kujiorodhesha ktk siasa za Tanzania? ... vyombo vya habari vimeripoti kuwa; taarifa, pamoja na uthibitisho vimepelekwa Uingereza, nchi ambayo ni colonial master wetu! Tukumbuke kuwa, budget yetu bado ni tegemezi kutoka huko na nchi zingine, Uingereza ina ushawishi mkubwa duniani, NATO, WB, IMF, nk je wakitugeuzia kisogo tutakimbilia wapi kesho? Leo nimeamini usemi wa wahenga, sikio la kufa.... Pole Tanzania!!!!!!!
 
Wamebana, wameachia! Vyama vikongwe kama magamba huwa havikubali kuachia madaraka kwa urahisi, mpaka vita itokee. Sasa hivi magamba wamekabidhi nchi kwa JWTZ. Kuanzia Rais, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya wengi ni wanajeshi. Tumeiona nhatari lakini lazima tupambane kuikomboa nchi yetu. Peopleeeeees Poweeeer iendelee kwa nguvu!
 
watu waliofika leo walikuwa tayari kwa lolote kuna mtu mmoja alisema nyamazeni wasije wakatupiga mabomu aliondolewa akiambiwa amefata nini kama anaongopa mabomu ya machozi ni bora aende nyumbani tubaki hata 20 ambao tutakuwa tayari kwa lolote....kama leo wang'etumia nguvu au wang'e mkatalia mdhamana hakika yangetokea maafa zaidi ya tarehe 5.1.2011 kwani leo sime,bisibisi, visu na nk virikuwepo vya kutosha....

Niliwahi kusema hapa kwamba polisi wanatuzoesha namna ya kuhimili mabomu na resasi, ikifika siku wenyewe watapaki magari yao pembeni waungane na nguvu ya umma. Mabomu na risasi zilishindikana Misri baada ya wananchi kufanyiwa hivyo kila mara hadi wakazoea
 
Asante kwa picha. Ninachoona hapa ni kuwa OC ya bajeti ya polisi kapewa Mbowe ale raha kupasua anga kwenda Arusha. Isijekuwa mh.mbowe alikuwa mjanja anataka private jet kwenda likizo kwao Arusha alaf anajipeleka central ili aruke mpaka A town kilaini! Ccm akilimaji kwa kweli! Kwa nini asingeambiwa akajisalimishe kule arusha? Jk unachezewa akili apa uonekane hamnazo bure! Jamaa kafika mahakamani na kaambiwa basi bwn tumeshakuona nenda tu! Kuna mamilioni yamepotea hapa!
 
Back
Top Bottom