Tafuta hoja zenye mashiko mtu hataki kufuata sheria unataka aachiwe kisa KUB , haiwezekani ! tunajua amedhalilishwa ila ajifunze kulikuwa hakuna jinsi
Anatabasamu kwa vile anajua yeye si mhalifu,wahalifu ni Polisi na mahakama. hebu angalia hizo picha sura ipi inajionyesha kabisa kuwa ni ya kihalifu? hata mtoto wa chekechea hashindwi swali hilo. Wahalifu ndio wafunikao sura zaoChadema iko juu bana, Mbowe ni mwanamapinduzi aliyekomaa, pamoja na hayo yote wanayomfanyia bado anatabasam na kucheka kwa furaha... freedom is coming...
View attachment 31560View attachment 31561View attachment 31562
View attachment 31563View attachment 31564View attachment 31565
View attachment 31566View attachment 31567View attachment 31568
View attachment 31569
Hii ni kabla ya kesi na wakati kesi inaendelea...Mtanisamehe nimepiga picha kwa simu yangu ya mchina...
kama kawaida subiri kutangaziwa tarehe!!vipi maandamano yapo
Hawa wana maghamba ni vichaa bwana,sijui tusemeje tena wanatupeleka pabaya!!!!!!!!!!Mkuu madudu haya hayako p[olisi tu...Mfano Manispaa ya Arusha ilishitakiwa ikidaiwa mil 3, mdai akashinda kwa mshangao wa wengi mwanasheria wa Manispaa akakatarufaa na kumtafuta wakili na kumlipa mil 6, sasa jiuli kama unaakili unaweza kukata rufaa iliitakayo kugarimu mil 6 na ili ukoe mil 3...
Mkuu hapo nakupa na glass ya WINE :majani7::majani7::majani7:
Mkuu hapo nakupa na glass ya WINE :majani7::majani7::majani7:
watu waliofika leo walikuwa tayari kwa lolote kuna mtu mmoja alisema nyamazeni wasije wakatupiga mabomu aliondolewa akiambiwa amefata nini kama anaongopa mabomu ya machozi ni bora aende nyumbani tubaki hata 20 ambao tutakuwa tayari kwa lolote....kama leo wang'etumia nguvu au wang'e mkatalia mdhamana hakika yangetokea maafa zaidi ya tarehe 5.1.2011 kwani leo sime,bisibisi, visu na nk virikuwepo vya kutosha....