Mkuu yana vyombo vya habari walijitahidi kuonyesha kilichotokea ingawa ilikuwa kwa kifupi hata hiyo kivideo kilichoko hapo juu kinatosha kupata picha halisi, sikupiga picha zaidi kwa sababu kama 4.Asante Mkuu kwa taarifa picha ziko vizuri tunasubiri picha zaidi jinsi wana cdm walivyojitokeza arusha kwenye taarifa za habari walibana sana picha.
Labda uwe wazi zaidi maana sisi CHADEMA tuna maandamano mengi hasa hapa Arusha...Kwa hiyo maandamano lini tena makamanda wa Kiboroloni