Yaliyojiri leo Arusha - Picha na video

Wanatumia mamilioni kumsafirisha mbowe kwa private jet ya jwtz na magari mengi ya escot lakini hwawezi kumshika ridhiwani na kumhoji anatoa wapi mamilioni.

Kwa jinsi nchi hii ilivyoharibika, usikute huo ulikuwa ni mchongo wa wakubwa ndani ya jeshi la polisi na wenye jet ili wavute ten percent zao kwa kisingizio cha kumsafirisha Mbowe-mtu hatari kwa ustawi wa serikali dhalimu ya wanamagamba!!
 
Lakini Mbowe ni Waziri Mkuu na anastahili heshima yote hiyo, tafakari! Huyo mwingine ni kivuli tu. CCM Wamemtabiria heshima nayo stahili
 
ccm wabishi kweli......

Hapana mkuu so wabishi ni short sighted. Sikatai kama Mbowe au mtu yeyote amevunja sheria akamatwe lakini huu mtindo/gharama etc uliotumika ndio umeifanya CCM ionekane kituko. Hata umueleze mtoto mdogo hawezi kuelewa hii kitu sio yakisiasa zaidi.
 
dah over spending yaani serikali inatumia gharama yote kumsafirisha Mh mbowe kana kwamba ni mhaini dah inasikitisha
 
Hivi unapokuwa unaandika hizi comments kama JF Senior Expert Member huku kukiwa na picha pamoja na video ambazo zinakwenda kinyume na hizo comments ninakuwa na tabu kidogo hizi membership status.

There is a big difference between get educated and get education. Kuelimika na kupata elimu.
 
Chadema iko juu bana, Mbowe ni mwanamapinduzi aliyekomaa, pamoja na hayo yote wanayomfanyia bado anatabasam na kucheka kwa furaha... freedom is coming...
 
Kila wanachofanya hawa wazee wa sis em wanaonekana wanakosea mwisho wa siku,Je ni kwa sababu walio karibu na kaka mkuu wanataka wamuangushe au ni kupauka kwa mawazo na akili zao.Lazima tuliangalie hili kwa mapana yake,maana cdm ikishika dola ingependa watu wote wawe na speed ya kufanya maendeleo,ku compensate muda waliotupotezea hawa wapuuzi!
 


Wana JF,

Kweli Mtu kama mbowe analindwa utadhani ni mfungwa as if amefanya au kashiliki president assassination, Ulizi ulio tolewa kwa mbowe ingekua ni bora wakatulindie mali za nchi yetu kutorosha nje kama Magogo, Mchanga wa dhahabu ,Almasi na vinginevyo.

Serikali imeingia gharama ya juuu kweli me nisha waambia serikali ya JMK inatengeneza a Time BOOM nali limekaribia kufika

Afadhali umeliona hili, nitatizo kuibwa lakini kuna mapumbavu hapa wanashabikia serikali kutumia nguvu kubwa wakati wakivunjiwa usiku walinda usalama hawaonekani
 
Ni vizuri tukawapima uwezo wa akili wa baadhi ya viongozi wa police maana ukiangalia gharama zilizotumika kumlinda na kupeleka Arusha mh. Mbowe zingewe za kuokolewa kwa kumwambia Mh. Mbowe tukutane Arusha angeenda mwenyewe na pesa husika zingeweza kununulia vitanda vya hospital ya Amana.
Hebu angalia nini kimefanyika baada ya kumfikisha Arusha? Je nani atafidhia pesa hizo? Magesa nini umepata zaidi ya kuigombanisha Serikaali na Wananchi?
Mkuu madudu haya hayako p[olisi tu...Mfano Manispaa ya Arusha ilishitakiwa ikidaiwa mil 3, mdai akashinda kwa mshangao wa wengi mwanasheria wa Manispaa akakatarufaa na kumtafuta wakili na kumlipa mil 6, sasa jiuli kama unaakili unaweza kukata rufaa iliitakayo kugarimu mil 6 na ili ukoe mil 3...
 
Mkuu madudu haya hayako p[olisi tu...Mfano Manispaa ya Arusha ilishitakiwa ikidaiwa mil 3, mdai akashinda kwa mshangao wa wengi mwanasheria wa Manispaa akakatarufaa na kumtafuta wakili na kumlipa mil 6, sasa jiuli kama unaakili unaweza kukata rufaa iliitakayo kugarimu mil 6 na ili ukoe mil 3...

Huo ulikuwa mpango wa kula pesa ulijitokeza na kwa sababu hakuna mkaguzi basi inapitishwa kwamba ni milioni 6 zimetumika. Lakini wajue kuwa wakati huu vijna tulio soma ni wengi na hatudanganyiki tena kwa mahesabu yao feki yasiyo kaguliwa, siumeona Mzee wa kiraracha anavyo fukua uozo mwingi huko serikali za Mitaa, days are numbered!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Peopleeeeeeessssssssss!!!!!!!!!
 
Kirashiwaizi,

shukrani sana sana mkuu. Hapo awali nilikuwa nimejiuliza iweje leo kuna tukio la ukombozi arusha hatupati picha jambo ambalo siyo kawaida ya arusha

Nguvu inayooneshwa humo kwenye hiyo video ni kubwa kuliko ile ya JK na FFU wake wote!

Niliwahi kusema hapa kwamba "Wataelewa tu" na huu ndio mwanzo. Mbona watu wameandamana na hakujatokea fujo wala wizi

This time intelijensia imesomeka sawa
watu waliofika leo walikuwa tayari kwa lolote kuna mtu mmoja alisema nyamazeni wasije wakatupiga mabomu aliondolewa akiambiwa amefata nini kama anaongopa mabomu ya machozi ni bora aende nyumbani tubaki hata 20 ambao tutakuwa tayari kwa lolote....kama leo wang'etumia nguvu au wang'e mkatalia mdhamana hakika yangetokea maafa zaidi ya tarehe 5.1.2011 kwani leo sime,bisibisi, visu na nk virikuwepo vya kutosha....
 
Asante sanaaaa, umefanya kazi ya maana mno. Keep up the good work. Tanzania inahitaji watanzania wengi wa namna hii.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom