Tafuta hoja zenye mashiko mtu hataki kufuata sheria unataka aachiwe kisa KUB , haiwezekani ! tunajua amedhalilishwa ila ajifunze kulikuwa hakuna jinsi
kulaleki mimi nahamia Arusha huko ndio kuna wanamapinduzi wa kweli, ndio maana JK hapapendi , kwanza watu kule wana pesa hali ya hewa nzuri wanaakili hawadanganyiki ,kulaleki cheki mikoa ya ruvuma huko kusini huko ccm inashinda kila siku wanajua zile kanga na kofia ndio haki yao kupewa hawajui kuwa nchi ina rasilimali nyingi wamejazwa udini kuwa chadema ni ya wachaga(NAPE) na wakristo huku wakiwafumbia macho kina Zitto na profesa Safari. kulaleki nipokeeni Arusha sooon!
thanks kijana wangu wa ukweli Crashwise.
kama ulivyo ambiwa Think twice kabla huja andika, huyo ni Malaria sugu, wine kwake haipiti. infwact ni kama umemtukana/umemtusiMkuu hapo nakupa na glass ya WINE :majani7::majani7::majani7:
Hoooo! Nguvu ya umma, maneno mengi tu.hiyo ndio nguvu ya umma?.harafu naona mnasifiana kimsimu cha mchina kwa nini msiisifie serikali ya ccm kwa kuboresha mawasiliano kiasi kwamba tunapata mambo fasta namna hii?.hakika asiyeweza kumshukuru binadamu mwenziye hata mungu hawezi kumshukuru.
Hiyo picha ya kwanza kuna jamaa anamsindikiza Mbowe na machine gun hii inaonyesha nini? Polisi hawajui kutofautisha aina ya washtakiwa ndio maana wanaishia kuwa wauaji. Mtuhumiwa kama Mbowe na kosa linalompeleka Mahakamani bunduki ilikuwa ya haja gani? Elimu bado inahitajika sana kwa jeshi letu la Polisi.
Hebu tumia jina lako vizuriTHINK TWICE. au umetumwa