Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Hiyo picha ya kwanza kuna jamaa anamsindikiza Mbowe na machine gun hii inaonyesha nini? Polisi hawajui kutofautisha aina ya washtakiwa ndio maana wanaishia kuwa wauaji. Mtuhumiwa kama Mbowe na kosa linalompeleka Mahakamani bunduki ilikuwa ya haja gani? Elimu bado inahitajika sana kwa jeshi letu la Polisi.