Yaliyojiri leo Arusha - Picha na video

Yaliyojiri leo Arusha - Picha na video

CCM mnajidanganya mwisho wake ni aibu tupu!hamwezi kushinda vita hii ni vita ya umma!!Tafuteni mbinu yenye busara kutumia Dora haiwezi kuwa suluhisho kamwe kwa ajiri ya kunyamanzisha wapinzani!
 
Crashwise yaani video sijaweza kuona lakini wewe ni wa ukweehe...mpipicha hii ndo nawekaga kwenye archive nije kuonyesha wanangu jinsi inchi ilivokombolewa sio wanapigwa na pepe kwenye tram huku Johan Hofmanstraat wanaona kumbe na tz safi..kudadadeki
 
Ni vizuri tukawapima uwezo wa akili wa baadhi ya viongozi wa police maana ukiangalia gharama zilizotumika kumlinda na kupeleka Arusha mh. Mbowe zingewe za kuokolewa kwa kumwambia Mh. Mbowe tukutane Arusha angeenda mwenyewe na pesa husika zingeweza kununulia vitanda vya hospital ya Amana.
Hebu angalia nini kimefanyika baada ya kumfikisha Arusha? Je nani atafidhia pesa hizo? Magesa nini umepata zaidi ya kuigombanisha Serikaali na Wananchi?
 
Tunashukuru sana kwwa picha zako na hii imeonekana zaili jinc gani ccm wanawatumia polic na mahakama kujaribu kuzoofisha Chadema
 
machalii wa arusha washachoka kunywa chai na karoti af mnawaletea manoma aisee.....tutazichapa
 
CCM mnajidanganya mwisho wake ni aibu tupu!hamwezi kushinda vita hii ni vita ya umma!!Tafuteni mbinu yenye busara kutumia Dora haiwezi kuwa suluhisho kamwe kwa ajiri ya kunyamanzisha wapinzani!

Tafuta hoja zenye mashiko mtu hataki kufuata sheria unataka aachiwe kisa KUB , haiwezekani ! tunajua amedhalilishwa ila ajifunze kulikuwa hakuna jinsi
 
jk juzi kati apa ndo kenda mwanza for the first time!!
afu mnasema uyu ni presidaa:confused2:
arusha kaza buti,mafisadi ipo siku yao,wanafikili hii uganda?
 
Last edited by a moderator:
..............Sidhani kama ulifikiri mara mbili kweli kabla haujapost. kama kweli ulifikiri naona unahitaji msaada........
Kwa ulinzi huu ulivyo imarishwa hata nzi na uhakika hakusogea , licha ya wapenzi wa cdm. Hongereni jeshi la polisi kwa kutekeleza sheria ya nchi, na huu uwe ni mfano kuwa next time lazima afuate sheria.
 
Hapo mambo safi cdm kama mngelegeza kamba tu jamaa asingetoka, nawapa big up watu wa Arusha kwa kumpa company kamanda wetu, mi binafsi nimeridhishwa sana na hatua hiyo kwani hata sisi tulioko kwenye system tumeshaichoka CCM ila basi tunatekeleza ilani ya chama cha magamba kinafiki tu tufanyeje ila ndani ya mioyo yetu ni CDM damu damu. Peoples....................................................!
 
Mwanzoni MS alisema yafuatayo kabla ya picha kulettwa


Baadaye picha zikaja, na mojawapo ni hii hapa;
attachment.php


Baada ya kuona ukweli wenyewe, MS akaishiwa hoja na kuandika yafuatayo;


Sasa basi ni dhahiri kwamba MS anastahili kuendelea kupewa BAN pasipo huruma kwani matendo yake yanamhukumu yenyewe! Nawasilisha!

nakushukuru jinsi ulivo bambanua ujinga wa malaria sugu kwa facts na evidences ana deserve BAN.
 
Kwa ulinzi huu ulivyo imarishwa hata nzi na uhakika hakusogea , licha ya wapenzi wa cdm. Hongereni jeshi la polisi kwa kutekeleza sheria ya nchi, na huu uwe ni mfano kuwa next time lazima afuate sheria.
Hebu tumia jina lako vizuriTHINK TWICE. au umetumwa
 
nashukuru kwa picha mkuu.pipoooo.mwaka huu mamluki kwenye gemu watatoka wanataka wasitake.
 
Last edited by a moderator:
Hapo mambo safi cdm kama mngelegeza kamba tu jamaa asingetoka, nawapa big up watu wa Arusha kwa kumpa company kamanda wetu, mi binafsi nimeridhishwa sana na hatua hiyo kwani hata sisi tulioko kwenye system tumeshaichoka CCM ila basi tunatekeleza ilani ya chama cha magamba kinafiki tu tufanyeje ila ndani ya mioyo yetu ni CDM damu damu. Peoples....................................................!

wakipiga mdundiko nyie chezen bugobogobo ya kisukuma au wadanga ya bukoba.
 
Tunawashukuru wote waliojitokeza leo mahakamani,,,,mapambano yanaendelea...
 
Mbowe ni mhalifu lazima achukuliwe sheria. Ww unasema balali amefichwa wapi alipo fichwa ? acha kuongea kwa akili za kufikirika, ongea hoja zenye mashiko. Au mumeo ndio amekuambia uongee hivyo

Hivi wewe unafikiria kwa kutmia nini? kwanza una umri gani? elimu yako je? tupe uhalifu alioufanya na uweke vifungu vya sheria alivyovunja na useme sheria yenyeje. usiongeeoa stori za kusikia kijuweni unajifanya ndo zako. nasubiri makosa aliyofanya usikurupuke mwanaume wewe! toa hoja ambayo haidanganyi watu
 
Back
Top Bottom