Duh...huenda unanyofoa mpaka nywele zako kwa hasira ukiwa nyuma ya keyboard...tehteh...mitusi miiiiiingi...pole....kwamba picha zinakuwa edited...ukisoma ripoti ya Amsterdam iliyovuja hiyo ni dhahiri...Kajinga weee, kapuuzi, ninafatilia mikutano ya Lissu kila siku YouTube , ikiwa Live au lah .
Unakuta Ulisoma kwa kuunga ungaa sababu kichwan umejawa na ujinga na matope
Ukajikongoja weeeeee mpaka umefika hapo..
Sasa hiyo haiondoi ukweli kua, uwezo wako wa kichwan ni mdogooo mdogoooooo sanaaaa.
Alafu bado ukawa mwanaCCM ..
Ndo kabisa, ukazidi kuongeza utahira kwenye kichwa kilichojaa minyoo namatope