Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,085
Achana nae alitaka abembelezwe kuleta taarifa akiwa kwenye mdahalo, sasa hakuna aliyembembeleza kanuna ana kisasi.Kila mtu anakazi yake kama mimi kazi yangu ni kulima mpunga ili wewe ule.... basi wewe kama mwanahabari inabidi unipatie habari zote bila chenga nikizitaka.... Siku ukikosa mpunga basi njoo unilaumu.