The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Mijitu mizima haina aibu, haina mchango wowote kwenye taifa imebaki kujaza vyoo tu Central na vituoni mwao.
Kufeni zenu huko.
Kufeni zenu huko.
Eti Mbowe alishindwa kuwanunulia I padEnzi za mobile devises na google maps kweli makomando wanahifadhi ramani kwenye kidaftari? Mapolisi ancient kweli. Drop pin - easy does it.
Hata akijuzuru, akija mwingine ni maawali tu, labda mashahidi waisheZipo tetesi kwamba baada ya wiki 2 jaji huyu naye atajiuzulu
Kwa wakata mkaa wanasababisha nchi isitawalike?Mbowe ushahidi unambana sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na pesa walizokuwa wanapewa kwa ajili ya ujira wao ndo inashangaza zaidi eti watu waue Sabaya, walipue kila mahali afu wanapewa laki2, laki na 50 hadi haziwatoshi wanaenda kubana matumizi kwa dada ake mbowe!!!Eti Mbowe alishindwa kuwanunulia I pad
Yaani kabisa kwa ubabe ule wa JPM upange ugaidi? Si wangepata sababu ya kuifuta CHADEMA once and for all.Ndege mjaja hukamtwa na tundu bovu
Heri alivyomkataa shetani CCMKwa sasa Sabaya ameshakuwa kiumbe kipya na mabaraza ya namna hiyo siyo sehemu yake tena.
Ameshamkataa shetani na kazi zake.
Wewe ni mnafiki sana, comment yako ya mwanzo umeisahau mara hii? Ngoja nikukumbushe mwanzo umeandika hivi ... "hii kesi imemkalia vibaya mwamba...."either tuamue kuamini ushahidi ni wauongo au ushahidi niwaukweli.....Je tunajuaje ushahidi ni wauongo au waukweli?..... huyo Urio aliyetajwa naye yupo kwenye kutoa ushahidi?,
Figure za hela zinazotajwa wahusika kupewa mbona hazilingani na kazi tunayoambiwa walipewa?..
Sijaona mahala popote wahusika wanapewa kazi kwa makubaliano fulani, Je wahusika waliahidiwa nini baada ya hiyo kazi ya hatari?...hivi mtu anaweza tu kufanya kazi ya hatari kama hiyo bure?...maswali ni mengi ngoja tuendelee kujiuliza..
sawa mkuuKama naelekea kukuelewa ila bado.
Acha mihemko, mmeshikilia mtuhumiwa muda wote huo, mmekamata moshi mkampeleka mpaka Dar, halafu baadae mnakuja na ushahidi wa maneno yaliyoandikwa eti ndio maelezo aliyotoa mtuhumiwa.Mbowe kishakaangwa na watu wake ambao walipokuwa ndani yeye akiwa nje aliwatelekeza kumbe walishaga toa ushahidi mzuri tu juu yake sasa mambo hazarani maovu ya mbowe yanajulikana sasa waliokuwa wanamuona kama malaika hakosei waanze kufumba midomo yao wa kwanza erythrocyte
Kwa bahati mbaya hawaelewi kabisa kwanini kibatala anauliza hayo maswali, Pathetic!Kibatala anauliza maswali mazuri sana
Hivi cheo cha mtu ni sehemu ya jina lake kisheria!?JAJI: Majina yako Tafadhali
SHAHIDI: ACP Ramadhan Kingai
Sasa kama shahidi wa kwanza anayetarajiwa kupigilia msumari katika kesi ushahidi wake ni huo wa kakipande cha karatasi, amekiri kabisa hana Fingerprints, wala DNA, hao mashahidi wengine 18 watakuja na vielelezi gani kama sio kutupotezea muda tu?Mbona mnahaha sana? Huyu ndiyo kwanza shahidi wa 1 upande wa serikali, kuna wengine 19 wanakuja, subirini!!
Waibebe tu kama walivyoagizwa lakini wafahamu tu kuwa wako uchi wa mnyama pale sanamu la askari na kila mtanzania anawaangalia.Ni kweli majaji hawahaminiki lakini hata wakiibeba jamhuri kiasi gani wakati mwingine mbeleko lazima ichanike tu.