Acha kujidanganya wewe. Hiyo ni kesi ipo mahakamani, hapo kila wakili anatengeneza namna ya kuweza kushinda kesi. Sasa ukikaa ukaamini upande mmoja wa utetezi kwamba watu fulani ni makatili bila ya kuwa na uhakika unajipotosha.Kuna muda nilikuwa nasoma mpaka natetemeka najiuliza vipi kama ingekua ni mimi? Aisee jamaa makatili sana