GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,161
Nimeshapiga kura
Nyie ccm acheni wizi wa kiboya....
Kuna vijana wamekuta majina yao yashapigiwa kura....yaani watu wamepiga kura kwa kutumia majina ya watu....wenyewe walivyokuja ni tafrani nimeshindwa kupiga picha kwasbb police walikuwa washatinga ....
Tunaomba utuambie ni sehemu gani hapo