MATAGA wote ni wanasheria pori. Ndiyo maana chama chao na Serikali yao hawatii Sheria ya nchi bali kutumia sheria hizo kuumiza watanzania wengine wasiowakubali kimtazamo. Sad.Mkuu samahani ww ni mwana sheria?
Angefaulu si angehonga penzi mbona simple tu, Hujasikia ya UDOM?Huyu kweli ni form four failure...hawezi hata kutunga story, chuo asingefaulu huyu
... Hao ndio wakereketwa na makada kindakindaki wa CCM! Ukikutana nao kwenye anga zao utadhani are so bright kumbe loh!Huyu shahidi ni empty head utopolo kabisa...hiki ndio kiwango cha uelewa cha watu wetu... huyu ni mtu anayekutana na waheshimiwa mara kwa mara...
Nyie si mkishiba mnakandia Kingereza sio muhimu, enewei kuna pendekezo la Mwigulu enzi za mwendazimu kama halikupuuzwa…. lilikuwa hukumu ziandikwe Kiswahili ili hata yeye aelewe.Kinacho nikera mimi ni ushahidi huu kuandikwa kwenye lugha ya kizungu!..
... na kwenye ushahidi wake jana alisema alikaa mahabusu/gerezani for 11 months! Hili ni ajabu kuu la dunia kutokea CCM!Ukikamatwa lini
Mwezi wa 8 mwaka 2020
Mbowe ulikutana nae lini
Mwezi 10 ,2020
Hakuna kitu kigumu kama kutetea uhongo
Hata mimi nimeona.Huyu bwana sasa leo naona anabanwa vizuri ikiwepo ule ushauri nilioandika jana kwenye mtiririko wa ushahidi, bwana Kibatala kadokoa baadhi ya vitu vichache vilivyohusiana na malipo aliyoyataja huyo mkulima wa karoti...
Ukumbuka mwandishi aneandika kutoka kinywani mwako shahidi....Shahidi: hapa Nimeona Nimeeleza Kuhusu Kilimo, Nilikuwa nalima Viazi na Karoti. Jambo Lingine ni Mwandishi amekosea Mwaka nilioacha kazi kwa Sabaya.
Mmeshaanza kushangilia ushindi wakati ndiyo kwanza dakika ya 5 kati ya 90, punguzeni mihemkoKwa cross-exam ya leo, case closed! Mbowe Januari 2020 alikwa gerezani Segerea lakini wakati huo huo alikutana na Shahidi Kaaya huko Longido! How possible was that?...
Hizi akili za kijinga mnazo huko Lumumba Tu, waulize wenzio maana ya WAKILI kujiongeza kwenye kesi watakueleza wewe Zuzu usiye mbunge."Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Inawezeka ukawa gerezani segerea at the same time ukakutana na Jesca wa Sabaya Longido?Mmeshaanza kushangilia ushindi wakati ndiyo kwanza dakika ya 5 kati ya 90, punguzeni mihemko
Kujichanganya kwenye mahojiano ya mahakamani kawaida sanaInawezeka ukawa gerezani segerea at the same time ukakutana na Jesca wa Sabaya Longido?
Tuache hilo.... Ulikutana na Mbowe lini? Octoba 2020! Ulikamatwa lini? Agosti 2020! Umekaa gerezani miezi mingapi? 11.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayakinzani Mkuu,Sasa huyu shahidi mbona kila kitu ni kama fambastic, maelezo yake ya awali kwa maandishi na ushahdi wake vitu viwili tofauti, sasa mahakama ishike yapi? au yajumlishwe, na yakijumlishwa si yatakinzana... kazi kubwa hii.