Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

Huyu shaidi mbona mweupe Sana kichwani, hivi kwanini maelezo aliyotoa Chini ya polisi, ni tofauti na maelezo aliyotoa Jana wakati anaongozwa na wakili wa serikali, Na pia ni tofauti na maelezo aliyoyatoa polisi,Kuna vitu vingi anaviongea havipo ktk maelezo aliyotoa Polisi.

Inamaana sio kazi ya wakili wa serikali kumwambia azungumze kile ambacho amekitolea maelezo au wakili wa serikali huwa hasomi maelezo ya shaidi wake kabla.

hii kesi mbona Kina Mbowe Wana kila dalili yakutokutwa na hatia Kama itahukumiwa kwa haki
 
Kumbe mwezi januari 2020 anaosema kukutana na mboe ndio kipindi hicho mboe alifutiwa dhamana kisutu na kupelekwa gerezani segerea sasa haya ni maajabu wakati huo kukutana naye longido,,duh hata mimi nimeanza kuwa na mashaka na huu ushahidi unaweza kuwa wa uongo!
 
Huyu shahidi No 2 wa Jamhuri wakati anaongozwa na Wakili wa Serikali basi akaona mambo yamekwisha, alaa kumbe kuna Cross- examination.. yaani kwa wale mliofika high school mtakumbuka Paper II zilivyokuwaga noma, jamaa ndo kakutana nayo !!
 
Huyu shahidi ni empty head utopolo kabisa...hiki ndio kiwango cha uelewa cha watu wetu... huyu ni mtu anayekutana na waheshimiwa mara kwa mara...anauelewa na ujinga kwa kiasi hiki yaani full kiazi. kwa mashahidi hawa wawili NASEMA MBOWE yuko huru Mh Jaji hana haja yakupoteza muda wake kusikiliza upumbavu huu.

Hivi hata kama ni kupanga issue, hivi mnaweza kuleta shahidi kama hutu mahakamani kabisa kwa kesi nyeti kama hii...mbona inaonekana no utoto utoto tu.
 
Kwa cross-exam ya leo, case closed! Mbowe Januari 2020 alikwa gerezani Segerea lakini wakati huo huo alikutana na Shahidi Kaaya huko Longido! How possible was that?

... BWANA Mungu wa Mbinguni ni wa ajabu sana; ameanza kufanya njia pasipo na njia. Naona Shamu imeanza kugawanyika huku na huku Mwamba na watu wake wakipita katikati salama! Firauni na jeshi lake watashupaza shingo bado? Haijapata kuandikwa, ninyi mtakaa kimya Bwana atawapigania? BWANA ukasimame na wenye haki maana wewe ni Mungu wa HAKI. Amen.
 
Back
Top Bottom