mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ukitumia instincts, kuna mkanganyiko wa hatariiiiiii wa tarehe
. Wakati wanaona Longido, Mbowe alikuwa gerezani
. Wakati wanaonana moshi, Shahidi alikuwa gerezani
Wewe umeona nilichokiona ndio maana nimeoma weeeeee ila sikuelewa
Mkanganyiko wa hatari..... loshoroo, pizza, makange, mtindi humohumo🤣🤣