Uwa ni jaji mzuri sana tunafanya nae kazi anatendaga haki sana sema hii kesi ni ya kisiasa sana akitenda haki lazima aumie eg kumtoa mjini na kumpeleka mazingira magumu etc. Trust me tiganga ni jaji mzuriTiganga Ni wa wapi, Kabila gani?
NATAFUTA KESI ZAKE NA KUZISOMA KUONA KAMA ZINA MANTIKI YA KISHERIA MAANA HUU USHENZI ANAOUFANYA ANAKUWA MTUMISHI WA SHETANI NA LANA JUUUwa ni jaji mzuri sana tunafanya nae kazi anatendaga haki sana sema hii kesi ni ya kisiasa sana akitenda haki lazima aumie eg kumtoa mjini na kumpeleka mazingira magumu etc. Trust me tiganga ni jaji mzuri
CC Tajiri Tanzanitetajiri tanzanite we ni fala kama mafala wengine ingekuwa familia yako ungejisikiaje endelea kuwaza kwa kutumia makalio
With due respect, Tiga is still incompetent Judge. So he has wrong way to go.Uwa ni jaji mzuri sana tunafanya nae kazi anatendaga haki sana sema hii kesi ni ya kisiasa sana akitenda haki lazima aumie eg kumtoa mjini na kumpeleka mazingira magumu etc. Trust me tiganga ni jaji mzuri
Mualivu! Huu ni mwandiko wa gt ati! Nauona ufupi wa akili Yako na roho Yako mbaya! Ushabiki mwingine unazidi kinyesi Cha popo Kwa mbali Sana!Wamfunge haraka sana huyu gaidi..mama usije kuingia kwenye mtego wa kitoto wa Zito kabwe.
Mwisho wa siku utadharaulika na utakuwa umethibitishia ulimwengu yakwamba kesi hii ni yakutengenezwa na umetoa msamaha kwa kushinikizwa na wanaharakati, wanasiasa na vyombi vya habari vyenye mrengo ule wa kisiasa.
Mualivu ni mualivu tu hata Dunia yote ipige kelele...apigwe kitazi mara moja ili iwe fundisho kwa wanasiasa wahuni na kwa vizazi vijavyo
Kuna watu wanatakiwa wajengewe minara..... kweny sheria TL na kibatara...jamaa Hawa ni Gifted kwenye professional ya sheria...Huwa wanawalaza watu na viatu mahakamani....Kina Kibatala wako vizuri sana kwenye mawakilisho yao. Kitu kinacho onekana Jaji yuko kama wakili wa upande wa mashtaka.
Yaani ana wasaidia hata kwenye vitu walivyo visahau.
Kuna shida kubwa sana kwenye hii kesi.
Hapo kwenye MUALIVU hapo. Hapo hata mimi naunga mkono afungwe kabisaa. Maana UALIVU hautakiwi katika nchi hii. Hahahaah! Umetisha jamaa! MUALIVU!!!!!!!!!Wamfunge haraka sana huyu gaidi..mama usije kuingia kwenye mtego wa kitoto wa Zito kabwe.
Mwisho wa siku utadharaulika na utakuwa umethibitishia ulimwengu yakwamba kesi hii ni yakutengenezwa na umetoa msamaha kwa kushinikizwa na wanaharakati, wanasiasa na vyombi vya habari vyenye mrengo ule wa kisiasa.
Mualivu ni mualivu tu hata Dunia yote ipige kelele...apigwe kitazi mara moja ili iwe fundisho kwa wanasiasa wahuni na kwa vizazi vijavyo
Kina Kibatala wako vizuri sana kwenye mawakilisho yao. Kitu kinacho onekana Jaji yuko kama wakili wa upande wa mashtaka.
Yaani ana wasaidia hata kwenye vitu walivyo visahau.
Kuna shida kubwa sana kwenye hii kesi.
Itakuwa ni Mchaga huyu.Hapo kwenye MUALIVU hapo. Hapo hata mimi naunga mkono afungwe kabisaa. Maana UALIVU hautakiwi katika nchi hii. Hahahaah! Umetisha jamaa! MUALIVU!!!!!!!!!
Basi Ni bogus so aumize watu kisa hasipelekwe vijijiniUwa ni jaji mzuri sana tunafanya nae kazi anatendaga haki sana sema hii kesi ni ya kisiasa sana akitenda haki lazima aumie eg kumtoa mjini na kumpeleka mazingira magumu etc. Trust me tiganga ni jaji mzuri