Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.

wewe si bure itakuwa Dr. Slaa alikuahidi kukuoa nini, maana kila komenti yako lazima umtaje!? Pole sana usijali Mungu atakujalia utapata Mume mwema mwingne!
 
Nairobi waliwapiga mabomu ya machozi Watoto wa shule waliokuwa wakitetea kiwanja chao kunyakuliwa na mafisadi.

Sualalikawa kubwa kweli kweli, likavuka mipaka mpaka Mataifa.
 
hatuwezi kukubali uhuni uliofanywa na polisi wa ccm kumdhalilisha mwenyekiti wa taifa CUF lazima Waziri wa ulinzi Chikawe na hao polisi walihusika wawajibike kufukuzwa na kufunguliwa kesi tunawashangaa sana hawa polisi wanashindwa kutumia akili ubabe hata wale wadogo waliwakosea mpaka wakapiga mabomu huu uonevu una mwisho wake ..mbona hawaendi kupiga mabomu kwenye mikutano au maandamano ya ccm kila upinzani tuu .
 
Nairobi waliwapiga Maboma Watoto washule waliokuwa wakitetea kiwanja chao kunyakuliwa na mafisadi. <br>
<br>
Sualalikawa kubwa kweli kweli, likavuka mipaka mpaka Mataifa.<br><br type="_moz">
 
Hii ya leo nimeipenda sana. UKAWA wameamua kukomaa humohumo. Lazima majibu ya kueleweka yapatikane, kwamba nani kiongozi wa juu alietoa agizo la Proffesser kupigwa?.

Huu ni mtihani wa kwanza kwa Jenister Mhagama katika nafasi yake kama chief whip wa serikali bungeni. Kila mtu anajua kuwa hata hao viongozi wa serikali wapo kadhaa ambao hawafurahishwi na jinsi jeshi la polisi linavyo wapa wakati mgumu kwa vitendo vyao vilivyo kosa weledi.
Maana hapo wanasulubishwa wanasiasa wakati IGP na Kova wake wamekaa pembeni ya TV zao wanaangalia mhenyesho na vikombe vya kahawa pembeni.
Ifike wakati polisi wakitenda tofauti basi OCD wa sehemu husika ndiyo muwajibikaji na hapo mtaona hakuna atakaye kubali apoteze kibarua chake kwa mambo kama ya jana.
 
Ninaiona TANZANIA yenye kunukia damu, mustakabaliwa wa amani yetu, umoja Wetu, mshikamano Wetu alioasisis Mwl Nyerere sasa unatoweka taratibu.
Naiomba sana sana serikali yetu itazame hili. Kulikuwa na tabu gani kwa polisi kuwapa kibari cuf kwenye kufanya hiyo hiyo kumbukumbu Yao?

kasome vizuri Sheria ya maandamano kazi ya polisi sio kutoa kibali cha maanda bali ni kuyalinda maandamano!
 
Kwa hili ninawaunga mkono MAJAMBAZIi waendelee kutoa vichapo kwa askari polisi ,manake wamezidi kuonea watu wasiokuwa na hatia.
MkuuSio linakuja teyari, huoni vituoni silaha zinaibwa, polisi wanaporwa, raia wanauwawa hovyohovyo nk.Kilichobaki sasa hivi niwapi bomu lipasukie na maafa yaanze, CCM na serikali yake bado wamelala fofofo.Watu wanahasira kubwa, maisha nimagumu sana, polisi wanatesa watu, wengine Ikulu wanaogelea kwenye fedha ya umaa iloibwa hapa tunaenda kuchinjana kama kuku.
 
Makinda siku hizi kawa muoga amsana, kitu kidogo tu anaahirisha bunge ili akapewe ushauri.
 
Makinda siku hizi kawa muoga amsana, kitu kidogo tu anaahirisha bunge ili akapewe ushauri.

tatizo lako wewe huna shule( huna elimu
kichwani) ndio maana huelewi mambo
nadhani unaujua ushamiki tu bila
kutumia akili.
Huwezi kujadili jambo usilo lijua maana
lipo juu ya uwezo wako wa akili . Wewe saizi yako ni kuisifia mikutano ya kinana
tu basi hayo mengine waachie wasomi
huyawezi.
 
Makinda siku hizi kawa muoga amsana, kitu kidogo tu anaahirisha bunge ili akapewe ushauri.

Pale hapakuwa na jinsi, alichokifanya ndio maamuzi sahihi.

wale walishagoma, nje hawatoki, mada/hoja nyingine haijadiliwi, isipokuwa hiyo pigapiga ya polisi. Nikuahilisha

Wakajipange, jioni wakija wajuwe pakuanzia.
 
Nairobi waliwapiga Maboma Watoto washule waliokuwa wakitetea kiwanja chao kunyakuliwa na mafisadi.

Sualalikawa kubwa kweli kweli, likavuka mipaka mpaka Mataifa.
Tatizo lipo katiba inayopendekezwa ibala 6 (2) rejea rasimu ya 2 ya jaji warioba.
 
Mbatia akongea kwa uchumgu kwa kitendo cha Lipumba kudhalilishwa wakati yeye ni mwenyekiti wa chama kinachounda umoja wa kitaifa Zazibar, ana mwenyekiti wa wabunge wengi Bungeni, akahoji kama Polisi wameweza kumpinga kiongozi mkubwa kama Lipumba itakuwaje kwa Raia wa kawaida?. Kitendo cha watoto kupigwa mabomu, sasa Bunge limewaka moto. Baada ya kelele kuzidi sasa spika ameahirisha Bunge mpaka saa 10 jioni.

Wabunge wa UKAWA wameungana na kusimama humu wakipiga kelele wakitaka hilo swala la uonevu kwa viongozi wa upinzani lijadiliwe

Mimi nitofautiane na wengi hapa(wewe ukiwemo). Nilisikia Polisi wakimweleza Lipumba kuwa, kama issue ni kwenda kutoa taarifa ya kuahirisha kikao kule uwanjani,basi watume mtu aende au Yeye mwenyewe aende kimyakimya na sio kwa maandamano.

Sema shida ya awa jamaa ni "Nguvu ya Umma". Lipumba aliamini anakiuka taratiba kwa kubembeleza na kuwapigia magoti wanachama wake.

Hope amepata alichostahili (ingawaje naamini hata yeye anajua kuwa, WANACHAMA ndio waliomletelezea yote hayo).
 
Shangilieni Lipumba kupigwa ila ipo cku atapigwa baba yako km mtu amefata taratibu zote halafu ghafla unamstukiza asitishe mlikuwa wapi siku zote kumwambia hapana.
Watanzania waoga ila hawa vijana mnaowapeleka jkt watakuja kulipa kisasi tu
 
Lipumba alistahili kipigo; mtoto wa mkulima aliwahi kusema; WAPIGWE TU! Wapokaidi kutii mamlaka za kulinda Amani! Binafsi sioni kosa la polisi, Unaambiwa usifanye Maandamano na kwamba kama ni Mkutano wako Tayari kuulinda Halafu ww ndo unataka wakutii" Ajifunze CDM viongozi wake wakiitisha Maandano wanakaa Gorofani wakichukua picha za wanywa viroba wao wanavyoSegwa na polisi ili wakikamatwa wakawawekee dhamana!
Yaani' Huyu kweli Prf. Lipumba..fu...!!
 
Mimi nitofautiane na wengi hapa(wewe ukiwemo). Nilisikia Polisi wakimweleza Lipumba kuwa, kama issue ni kwenda kutoa taarifa ya kuahirisha kikao kule uwanjani,basi watume mtu aende au Yeye mwenyewe aende kimyakimya na sio kwa maandamano.

Sema shida ya awa jamaa ni "Nguvu ya Umma". Lipumba aliamini anakiuka taratiba kwa kubembeleza na kuwapigia magoti wanachama wake.

Hope amepata alichostahili (ingawaje naamini hata yeye anajua kuwa, WANACHAMA ndio waliomletelezea yote hayo).
Yaani wewe sijui kama unajua aua una uwezo wa kuchambua mambo! Ebu refer Prof akiwa ofisi za chama pale temeke alisema nini kuhusu mkutano hule mh. Alijitahidi sana kuhalisha maandamano na aliwapa sana polisi ushirikiano, kwani wakati anaenda uwanja wa zakhim alikuwa anatembeà kwa miguu? Kumbe siku hizi ukiwa umepanda gari nayo ni maandamano???
 
Mimi nitofautiane na wengi hapa(wewe ukiwemo). Nilisikia Polisi wakimweleza Lipumba kuwa, kama issue ni kwenda kutoa taarifa ya kuahirisha kikao kule uwanjani,basi watume mtu aende au Yeye mwenyewe aende kimyakimya na sio kwa maandamano.

Sema shida ya awa jamaa ni "Nguvu ya Umma". Lipumba aliamini anakiuka taratiba kwa kubembeleza na kuwapigia magoti wanachama wake.

Hope amepata alichostahili (ingawaje naamini hata yeye anajua kuwa, WANACHAMA ndio waliomletelezea yote hayo).

unawapangia watu speed ya kutembea kwani hii nchi ipo vitani???
 
CCM, Utawala wao na Policcm ni mkusanyiko wa mithili ya 'nguchiro' walionyanyua vichwa wakijitapa wajasiri, lakini anapotokea mwewe, wote huzamia shimoni kwa woga wa ajabu!...Nguvu wanayotumia CCM na utawala wake kupitia Policcm kunyanyasa raia wasio ha hatia wala silaha, ni ishara ya woga mkuu uliowajaa, wanaogopa umma usijipambanue, umma usiwe na ujasiri, umma usiungane na kujenga utaifa...! Hii ni ishara ya utawala unaokufa..! CCM itadondoka mapema sana...na hizi zote ni dalili za wazi ambazo wanashindwa wenyewe kuzizuia maana ndio matendo yanayowapa moyo kuwa wanaogopwa kumbe ni 'unene wa mbuyu' tu, ndani yake ni pango la utupu, na wenyewe wanajijua udhaifu wao unavyozidi kufumuka!
 
Back
Top Bottom