Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe