Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe
 
Tunakoenda[MENTION] bokoharamTanzania unakuja[/MENTION]

Mkuu

Sio linakuja teyari, huoni vituoni silaha zinaibwa, polisi wanaporwa, raia wanauwawa hovyohovyo nk.

Kilichobaki sasa hivi niwapi bomu lipasukie na maafa yaanze, CCM na serikali yake bado wamelala fofofo.

Watu wanahasira kubwa, maisha nimagumu sana, polisi wanatesa watu, wengine Ikulu wanaogelea kwenye fedha ya

umaa iloibwa hapa tunaenda kuchinjana kama kuku.
 
Mbatia naye aache ushabiki wa kisiasa. Polisi wamefanya kazi yao kutokana na ukaidi wa Lipumba

Ngoja siku polisi wakutwange virungu ktka hilo bichwa lako kubwa boga ndiyo labda utapata akili,...mbafu!!!
 
wanakwenda dodoma kufanya uhuni wao ndiyo maana wanafanya fujo ili bunge lisiendelee wapate mda wa kufanya uhuni wao.
 
Hii ya lipumba ni tactic ya serikali ili suala la escrow na maamuzi ya bunge, kashfa sukari na soo la mabomba ya gesi visijadiliwe
 
Mbatia naye aache ushabiki wa kisiasa. Polisi wamefanya kazi yao kutokana na ukaidi wa Lipumba

Mnashabikia kuvunjwa haki za watu kwa kuwa mnaarisha majeshi lkn kuna sk mtajuta na muda utakuwa umepita
 
Bunge limeahirishwa baada ya spika kukataa kujadili hoja ya Mbatia kuhusu polisi kuwapiga vibaya wafuasi wa CUF na mwenyekiti wao kinyama eti mpaka keshoo hivyo wapinzani wagangamalia hahahahaha hii nchi bwana vituko dairy

...polisi wanapiga mambomu raia wema! Hasa watoto wadogo!
huku wakiwalinda MAFISADI na Wezi wa kodi za walala hoi...

images
 
Mkuu

Sio linakuja teyari, huoni vituoni silaha zinaibwa, polisi wanaporwa, raia wanauwawa hovyohovyo nk.

Kilichobaki sasa hivi niwapi bomu lipasukie na maafa yaanze, CCM na serikali yake bado wamelala fofofo.

Watu wanahasira kubwa, maisha nimagumu sana, polisi wanatesa watu, wengine Ikulu wanaogelea kwenye fedha ya

umaa iloibwa hapa tunaenda kuchinjana kama kuku.

ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.
 
Ninaiona TANZANIA yenye kunukia damu, mustakabaliwa wa amani yetu, umoja Wetu, mshikamano Wetu alioasisis Mwl Nyerere sasa unatoweka taratibu.
Naiomba sana sana serikali yetu itazame hili. Kulikuwa na tabu gani kwa polisi kuwapa kibari cuf kwenye kufanya hiyo hiyo kumbukumbu Yao?
 
Mnashabikia kuvunjwa haki za watu kwa kuwa mnaarisha majeshi lkn kuna sk mtajuta na muda utakuwa umepita

kwahiyo wewe unatetea waharifu ili iweje acha ujinga wako polisi wako sahihi.
 
Kwa kwelii hata mimi niliona jana EATV kipindi cha hot mix sikuamini wanapiga virungu kama wanapiga mwizi jaman aaaah napenda sana kua police lakini siyo katika hari kama ilee aiseee sasa ngoja tutasikia hiyo kauli kutoka juu ni juu ganii maana hata raisi hakuwepo na waziri mwenye dhamana hajui sasa sijui ni juuu mbiguni ngoja tusubiri tamko la badae
 
Back
Top Bottom