Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28



Baada ya wabunge kukutana tena jioni hii,spika wa Bunge Bi Anna Makinda ameahilisha tena shughuri za bunge mpaka kesho asubuhi.Ikumbukwe kwamba leo ndio ilikuwa ni uwasilishwaji wa taarifa za kamati.
Bunge limeahilishwa lakini malipo na posho kwa wabunge ziko palepale,kama majadiliano yalikuwa ya wiki mbili yaani 14,basi engeza siku moja tena,hivyo basi ni siku 15 badala ya siku 14.Kama malipo na posha kwa siku moja ni jumla ya pesa za kitanzania Milioni 85,basi zongezwe tena milioni 85 za siku moja iliyoongezeka.Ni hasala kubwa sana kwa Taifa letu,lakini hasara hii ya m85 za siku moja imesababishwa na nani kati ya hawa.
Mtoa taarifa Mh James Mbatia,waliofanya maandamano jana,Jeshi la Polisi au Bi Anna Makinda?
Vilevile ikumbukwe kwamba,wanaoumia zaidi na hasara ya pesa hizo ni tabaka la chini (lower class) ambao ni Waalimu,Machinga,wachoma mikaa,wauzaji wa kuku mjini na vijijini,wauza vitumbua,wapepetaji wa chenga za mpunga mashineni.
Huku Tabaka la juu (Higher class) likizidi kufaidika,lakini wakumbuke kwamba hawa tabaka la juu wenye majumba na magari ya kifahari,siku ikifika majumba na magari hayo yatakuwa ni magofu ambayo mavi ya kila aina ya wanyama kama vile fisi,Pimbi na ndege kama popo,bundi yatakuwa yamejaa,yaani yatakuwa makazi ya viumbe na sio wao tena. Tuchukueni maamuzi magumu sana katika uchaguzi wa okutoba 2015.
Anayecheka leo si yule atakayecheka kesho. The life of human bieng in the universe is like the shape of the World/Earth.Tafakari.
Wilbert Pm's Mandago.Katibu chadema (W) Kwimba.

Mshululu@yahoo.com.0765183733




katika makundi yanayoumia watoe waalimu maana wao wanaikumbatia hii serikali. pia naomba nikurekebishe hakuna aliyeandamana bali walikuwa katika maandalizi wakazuiwa. hata ukiangalia maelezo ya akina. lipumba walikuwa wanaenda zakiem kuwatawanya watu waliokuwa wametangulia kule.
 
CHADEMA wakimuona ashmta mshana wanachanganyikiwa

Hebu tuteke radhi, eti Chadema wakimwona Asumpther Mshana wanachanganyikiwa kwa kipi alichonacho zaidi ya kutetea chama chake hata pasipostahili. Hivi ukiambiwa taja wabunge watano makini katika bunge la Tanzani huyo naye utamtaja. CCM siwapendi lakini wanao baadhi ya wabunge makini. Kangi Lugola, Filikunjombe, Januari Makamba, Mchemba Mwigulu, Prof Mwakyusa, Prof Anna Tibaijuka,Simbachawene, Zungu kwa kutaja wachache. Huyo wako kama ni timu ya mpira haruhusiwi hata kuwabebea wachezaji jezi zao.
 
Nilitegemea kuna mbuge wa moja ya majimbo ya tabora angemuhuriza Waziri kwann waliipa kampun ya chico kaz yakusambaza umeme vijijin kigwa,goweko,ntalikwa,ndeberwa,kakora nakazima wakati hyo kampun haina vitendea kaz kama magari naimeshindwa kulipa hata vibarua je wataweza kukamilisha miradi kwa wakati
 
katika makundi yanayoumia watoe waalimu maana wao wanaikumbatia hii serikali. pia naomba nikurekebishe hakuna aliyeandamana bali walikuwa katika maandalizi wakazuiwa. hata ukiangalia maelezo ya akina. lipumba walikuwa wanaenda zakiem kuwatawanya watu waliokuwa wametangulia kule.

Upuuzi mtupu!Kwani walimu ndio wanaiweka serikali madarakani?Na bibi,babu,shangazi na wajomba zako wanaochagua viongozi kwa kuhongwa chumvi,kofia na pilau nao ni walimu?Fikiria walimu wote wapige kura kuwakataa watawala wa sasa unaamini Serikali iliyopo ndio itaanguka?Fikra zako si za kimapinduzi au labda unalipwa kwa kuwagawa watu kwenye mapambano.
 
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe

Hii ndiyo hasara ya serikali kuwamo bungeni ambako kunamfanya spika apwaye. Siyo sawa wabunge kuwa mawaziri.
 
Lipumba hata kama angekufa sawa tu huwezi kuvuja sheria harafu uchekewe tu.

Utalipwa sawasawa na kauli zako. Unaweza kudhani unakesha il kwangu unaonekana huna utu iliobaki ndani yako. Huna tofauti na mbwa mwitu. Unawezaje kumtakia binadamu asiye na hatia kifo. Iko siku kitapiga hodi kwako ndo utaikumbuka hii post.
 
Nawapongeza sana polisi jambo kubwa la msingi waongeze nguvu zaidi yakiwemo matumizi ya risasi za moto kwa wale sugu wasiosikia kabisa.

Nimepitia post zako nyingi. Tatizo lako la msingi ni elimu yako ndogo ikichangiwa na mahusiano mabaya kwa jamii inayokuzunguka.
 
Maccm utayajua tu,nani alikwambia polisi ni jeshi.policcm ni jeshi.....la wapi
Mkuu wewe mbona kama hunaakili kwani jeshi la polisi siyo jeshi hakika ukawa ni kazi bure.
 
Katika hali yakushangaza kama walivyozoea wakijua mjadala utakuwa mkali wamepuuza kurusha matangazo ya Tv Bungeni ili tusione wanavyojibizana, maana kulikuwa na mjadala wa kamati za bunge
 
Bora limesitishwa maana ninachokiona ni upuuzi wa wabunge wa upinzani kushinikiza mambo yao yatekelezwe hata kama ni ya kipuuzi
Hivi wewe ni ndugu wa damu na Bi Asha bakari nini? Hoja zako hampishani katika kupayuka. Mmelaaniwa sana, maana maneno yake anayotoa mdomoni ni sawa na sura yake, sijui sura yako, but hopefully, uko kama Bi Asha.
 
Katika hali yakushangaza kama walivyozoea wakijua mjadala utakuwa mkali wamepuuza kurusha matangazo ya Tv Bungeni ili tusione wanavyojibizana, maana kulikuwa na mjadala wa kamati za bunge
bunge limearishwa mpaka kesho saa tatu asubuhi.
 
Hiki si chombo cha umma tena bali cha wanyanganyi na genge la kimafya. I hate it! Eti wanatoa elimu ya katiba pendekezwa.....hiki chombo kinapotupeleka siko...
 
Bunge limehairishwa na Speaker wa bunge Anna Makinda mpaka kesho, TBCCM ilikuwa live mda huo.
 
Back
Top Bottom