ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.
Kwa faida ya nani? Wenzenu wanatafuna kodi zenu
Nawapongeza sana polisi jambo kubwa la msingi waongeze nguvu zaidi yakiwemo matumizi ya risasi za moto kwa wale sugu wasiosikia kabisa.
Bora limesitishwa maana ninachokiona ni upuuzi wa wabunge wa upinzani kushinikiza mambo yao yatekelezwe hata kama ni ya kipuuzi
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe
Mbatia naye aache ushabiki wa kisiasa. Polisi wamefanya kazi yao kutokana na ukaidi wa Lipumba