Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Lazima sheria za nchi ziheshmiwe.vinginevyo mtapigwa tuu.
 
Nimecheke sana, huyu Lizaboni alishajitoa ufahamu ndio maana huharisha na mdomo bila haya.

Nawapongeza sana polisi jambo kubwa la msingi waongeze nguvu zaidi yakiwemo matumizi ya risasi za moto kwa wale sugu wasiosikia kabisa.
 
ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.

Kila nikikusoma maandiko yako najiridhisha kuwa wewe pengine sio rizki. Mtu timamu hawezi kuwa ana bwabwaja hovyo kabla ya kufikiri hata kama humu haingii kwa jina lake halisi. Ila elewa humu unaingia na akili yako halisi, kwa hiyo hii ndiyo akili yako halisi.
 
Mchalo bado unaliamini jeshi letu!!tafiti zote zilizofanyika hadi tume ya haki za binadamu wamelionyooshea kidole!!Kweli wa Tz ni wavivu kujisomea(Prof.Muhongo 2013)
 
Sasa waTZ ndiyo tunaanza kuona impact ya agizo la Pinda kwa mapolisi kuwa raia wasio na hatia WAPİGWE TU!

Policcm nao wanaendelea kulitekeleza agizo hilo kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi kubwa zaidi!

Wabunge watakapokutana leo jioni, itabidi wamshinikize PM kwa ari, nguvu na kasi mpya ili Pinda awajibike kwa kujiuzulu, kutokana na kauli yake aliyowaamrisha poliiccm, kuanza kuleta madhara makubwa sana kwa raia wasio na hatia hapa nchini.
 
Nawapongeza sana polisi jambo kubwa la msingi waongeze nguvu zaidi yakiwemo matumizi ya risasi za moto kwa wale sugu wasiosikia kabisa.

Dada Una jingine?
Haya kakojoe ulale
Acha kutoa povu.
 
Bora limesitishwa maana ninachokiona ni upuuzi wa wabunge wa upinzani kushinikiza mambo yao yatekelezwe hata kama ni ya kipuuzi

Lizaboni: Siamini kama lugha unayotumia inasaidia hata kwa wanaokulipa. Kwa nini huwezi kutumia lugha yenye ustaarabu unao fanana na forum hii hata kama unatofautiana na hoja zote za kambi isiyo yako?
 
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe

Polisi wanaihujumu Ccm kulijuwa hili ni lazima ufikiri kwa kutumia ubongo na siyo tumbo.
 
Tanzania tulipofika sasa ni kubaya sana!
 
Kitendo cha polisi kumpiga Lipumba ni cha.kinyama sana, hatua kali zichukuliwe
 
Na siku hizi wana style yao ya mabomu ya machozi kidogo tuu wamekwisha yalipua tunaadhibiwa wote waliokuwemo na wasiokuwemo full kutoka machozi na kutuletea hitilafu kwenye macho yaani mtaani ni shidaaaa aisee
 
Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe

Yaan ndg yangu huyu spika ni kiroja. anakubali hoja ni yadharura na kanuni iliyotumiwa na ya jambo la dharura halafu eti ihairishwe na kibaya zaidi eti waziri alete majibu. Kwel huyu spika ni zaidi ya kiroja
 
Back
Top Bottom