Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaani wewe sijui kama unajua aua una uwezo wa kuchambua mambo! Ebu refer Prof akiwa ofisi za chama pale temeke alisema nini kuhusu mkutano hule mh. Alijitahidi sana kuhalisha maandamano na aliwapa sana polisi ushirikiano, kwani wakati anaenda uwanja wa zakhim alikuwa anatembeà kwa miguu? Kumbe siku hizi ukiwa umepanda gari nayo ni maandamano???

Uwe mvumilivu na wewe! Wakati yuko pale Temeke, hata mimi niliipenda speech yake (ingawaje haikukubaliwa na wafuasi).

Now; kwamba unataka kutufanya wote humu ni vipofu ja hatukuona maandamano na utitiri wa watu wakimsindikiza Lipumba kwenda Zakhim?

Kuwa muungwana bwana. Na hapo Lipumba "ameponzwa na nguvu ya umma tu". Hapa sasa naweza nkamuuliza swali, kwa nini yeye aliamua kufuata kauli au upepo wao ilhali keshagundua kuwa misimamo yao (wafuasi) ilikuwa wrong & improper?

Nini maana ya KIONGOZI?
 
ni jambo la kusikitisha sana kwa lipumba kufanyiwa hivihasa ukizingatia alijitahidi sana kuwahimiza watu wampigie kura Kikwete. Na haya ndo malipo ya Serikali ya kikwete. huyu ni mwenyekiti wa chama kilicho SUK anafanyiwa hivi. nikimtizama kwenye picha yeye mwenyewe haamini kama anatendewa ukatili huu. anajuta hata kwa nini aliwashawishi watu kuwa wampe kura Kikwete ambaye anaonekana kuw amemsahau kuwa Prof Lipumba alimpigia kampeni ashinde ili wasishinde makafiri uchaguzi wa 2010.
kitendo ambacho ametendewa ni cha kinyama na hakifai kuchekewa.
 
.. Lizaboni ngoja siku na wewe uje uvunjwe mguu na polisi hao ndiyo utakiona cha moto maana polisi unawashabikia sana polisi hawa kenge weee
 
Last edited by a moderator:
.. Lizaboni ngoja siku na wewe uje uvunjwe mguu na polisi hao ndiyo utakiona cha moto maana polisi unawashabikia sana polisi hawa kenge weee

ukifanya kosa haki yako kwanini tulee wahuni kama lipumba na kundi lake.
 
Uwe mvumilivu na wewe! Wakati yuko pale Temeke, hata mimi niliipenda speech yake (ingawaje haikukubaliwa na wafuasi).

Now; kwamba unataka kutufanya wote humu ni vipofu ja hatukuona maandamano na utitiri wa watu wakimsindikiza Lipumba kwenda Zakhim?

Kuwa muungwana bwana. Na hapo Lipumba "ameponzwa na nguvu ya umma tu". Hapa sasa naweza nkamuuliza swali, kwa nini yeye aliamua kufuata kauli au upepo wao ilhali keshagundua kuwa misimamo yao (wafuasi) ilikuwa wrong & improper?

Nini maana ya KIONGOZI?
Ila nyie mnafikiri watu wengine hawana akili kabisa!!! Jiji la dar unalijua, hivi unaweza kuniambia gari ya mh. Lipumba imesimamishwa mara ngapi kuelekea zakhim??? Tabia ya watanzania hauijui kweli? Kuwa upenda kushuhudia matukio hivyo baada ya kusimamishwa kila wakati watu walihitaji kujua kuna nuni huku? Nyie kwa ujinga wenu mkaona ni maandamano! Shame
 
Ushauri wa bure kwa mama Makinda AJITAHIDI KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI, PIA ATAMBUE BUNGE NDICHO CHOMBO PEKEE KINACHOTOA KAULI KWA NIABA YA WANANCHI.ALUKYA NA SABABU GANI KUGOMEA HOJA YA DHARULA ILIYOWASILISHWA KWAKE NA MH.MBATIA JUU YA POLISI KUWAPIGA WAFUASI WA CUF NA MWENYEKITI WAO BWANA PROF LIPUMBA? MAKINDA BADILIKA UNABOA
 
Yaani wewe sijui kama unajua aua una uwezo wa kuchambua mambo! Ebu refer Prof akiwa ofisi za chama pale temeke alisema nini kuhusu mkutano hule mh. Alijitahidi sana kuhalisha maandamano na aliwapa sana polisi ushirikiano, kwani wakati anaenda uwanja wa zakhim alikuwa anatembeà kwa miguu? Kumbe siku hizi ukiwa umepanda gari nayo ni maandamano???

Ww nawe acha Ku-panic 'Tuntemekesanga' alichoandika ni sahihi prf. alichoipata kilimstahili Huwezi kuleta ubishi kwa jambo ambalo polisi walimzuia, Ukaidi wake ni kupima uwezo wake na Polisi shauri yake bhana!
 
Lipumba alistahili kipigo; mtoto wa mkulima aliwahi kusema; WAPIGWE TU! Wapokaidi kutii mamlaka za kulinda Amani! Binafsi sioni kosa la polisi, Unaambiwa usifanye Maandamano na kwamba kama ni Mkutano wako Tayari kuulinda Halafu ww ndo unataka wakutii" Ajifunze CDM viongozi wake wakiitisha Maandano wanakaa Gorofani wakichukua picha za wanywa viroba wao wanavyoSegwa na polisi ili wakikamatwa wakawawekee dhamana!
Yaani' Huyu kweli Prf. Lipumba..fu...!!

Unadhalilisha wakurya na hiyo Id yako andika ya kwenu ya kihaya
 
Hivi utaratibu wa polisi kuzuia maandamano upo katika katiba gan???
....me nnavofahamu polic wanatakiwa kupewa taarfa 24 hours kabla hayajafanyik kwa ajili ya kuyalinda!!!
....asa hii ya kuzuia inatoka wapi ???
...mwenye majibu anisaidie please
 
Back
Top Bottom