Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,705
- 5,316
Mbatia anasumbuliwa na tatizo la hormones.
Uliyajuaje hayo mkuu
Mbatia anasumbuliwa na tatizo la hormones.
Mbatia akongea kwa uchumgu kwa kitendo cha Lipumba kudhalilishwa wakati yeye ni mwenyekiti wa chama kinachounda umoja wa kitaifa Zazibar, ana mwenyekiti wa wabunge wengi Bungeni, akahoji kama Polisi wameweza kumpinga kiongozi mkubwa kama Lipumba itakuwaje kwa Raia wa kawaida?. Kitendo cha watoto kupigwa mabomu, sasa Bunge limewaka moto. Baada ya kelele kuzidi sasa spika ameahirisha Bunge mpaka saa 10 jioni.
Wabunge wa UKAWA wameungana na kusimama humu wakipiga kelele wakitaka hilo swala la uonevu kwa viongozi wa upinzani lijadiliwe
Sawa; waambie wakazane waone!!!
Bora limesitishwa maana ninachokiona ni upuuzi wa wabunge wa upinzani kushinikiza mambo yao yatekelezwe hata kama ni ya kipuuzi
@Lizaboni mbwa jike wewe, kalale
kwani polisi walikuwa bungeni mambo ya wahuni wafanya fujo mnatuletea bungeni.
Labda wakukaze wewe!
Mh. Mbatia kaliweka hili wazi.Hivi utaratibu wa polisi kuzuia maandamano upo katika katiba gan???
....me nnavofahamu polic wanatakiwa kupewa taarfa 24 hours kabla hayajafanyik kwa ajili ya kuyalinda!!!
....asa hii ya kuzuia inatoka wapi ???
...mwenye majibu anisaidie please
Mbatia naye aache ushabiki wa kisiasa. Polisi wamefanya kazi yao kutokana na ukaidi wa Lipumba
Nadhani ulishuhudia kina nani "walikazwa"??
TUNTEMEKE SANGA hakujaza mavi kichwani kama wewe, unalifedhehesha jina la mzee wawatu aliyekuwa mchapakazi mzuri R.I.P mzee wetu TUNTEMEKE.Mimi nitofautiane na wengi hapa(wewe ukiwemo). Nilisikia Polisi wakimweleza Lipumba kuwa, kama issue ni kwenda kutoa taarifa ya kuahirisha kikao kule uwanjani,basi watume mtu aende au Yeye mwenyewe aende kimyakimya na sio kwa maandamano.
Sema shida ya awa jamaa ni "Nguvu ya Umma". Lipumba aliamini anakiuka taratiba kwa kubembeleza na kuwapigia magoti wanachama wake.
Hope amepata alichostahili (ingawaje naamini hata yeye anajua kuwa, WANACHAMA ndio waliomletelezea yote hayo).
ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.
Polisi siyo chama cha siasa bali ni jeshi watafanya kazi zao kijeshi daima.