dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
Polisi wanaihujumu Ccm kulijuwa hili ni lazima ufikiri kwa kutumia ubongo na siyo tumbo.
Na cha kushangaza wanalifanya hilo pasipo kukusudia! wanalifanya kwa bahati mbaya tu!
Polisi wanaihujumu Ccm kulijuwa hili ni lazima ufikiri kwa kutumia ubongo na siyo tumbo.
Mkuu
Sio linakuja teyari, huoni vituoni silaha zinaibwa, polisi wanaporwa, raia wanauwawa hovyohovyo nk.
Kilichobaki sasa hivi niwapi bomu lipasukie na maafa yaanze, CCM na serikali yake bado wamelala fofofo.
Watu wanahasira kubwa, maisha nimagumu sana, polisi wanatesa watu, wengine Ikulu wanaogelea kwenye fedha ya
umaa iloibwa hapa tunaenda kuchinjana kama kuku.
Kuna inchi ya ahadi na inchi ya laana sasa Tanzania ni inchi ya laana!
Polisi wanaihujumu Ccm kulijuwa hili ni lazima ufikiri kwa kutumia ubongo na siyo tumbo.
Nawapongeza sana polisi jambo kubwa la msingi waongeze nguvu zaidi yakiwemo matumizi ya risasi za moto kwa wale sugu wasiosikia kabisa.
Yaan ndg yangu huyu spika ni kiroja. anakubali hoja ni yadharura na kanuni iliyotumiwa na ya jambo la dharura halafu eti ihairishwe na kibaya zaidi eti waziri alete majibu. Kwel huyu spika ni zaidi ya kiroja
Nimecheke sana, huyu Lizaboni alishajitoa ufahamu ndio maana huharisha na mdomo bila haya.
ziliibwa wapi hizo pesa au zile pesa alizoiba slaa kanisani.
...polisi wanapiga mambomu raia wema! Hasa watoto wadogo!
huku wakiwalinda MAFISADI na Wezi wa kodi za walala hoi...
![]()
Kwa kwelii hata mimi niliona jana EATV kipindi cha hot mix sikuamini wanapiga virungu kama wanapiga mwizi jaman aaaah napenda sana kua police lakini siyo katika hari kama ilee aiseee sasa ngoja tutasikia hiyo kauli kutoka juu ni juu ganii maana hata raisi hakuwepo na waziri mwenye dhamana hajui sasa sijui ni juuu mbiguni ngoja tusubiri tamko la badae
Mbatia akongea kwa uchumgu kwa kitendo cha Lipumba kudhalilishwa wakati yeye ni mwenyekiti wa chama kinachounda umoja wa kitaifa Zazibar, ana mwenyekiti wa wabunge wengi Bungeni, akahoji kama Polisi wameweza kumpinga kiongozi mkubwa kama Lipumba itakuwaje kwa Raia wa kawaida?. Kitendo cha watoto kupigwa mabomu, sasa Bunge limewaka moto. Baada ya kelele kuzidi sasa spika ameahirisha Bunge mpaka saa 10 jioni.
Wabunge wa UKAWA wameungana na kusimama humu wakipiga kelele wakitaka hilo swala la uonevu kwa viongozi wa upinzani lijadiliwe
Yaan huyu Makinda anaendeshwa kwa remote na vimemo!! ni sawa na mwanafunzi kusimama kutaka kumuuliza swali mwalimu then anamuambia subiri nikatafute jibu kabla hujauliza swali lenyewe!Unajua kuna vitu vya kijinga hata mimi ambae sikusoma naelewa! Hivi unaombaje serikali ijibu wakati inatakiwa mjadala kwanza ujadiliwe kisha wanaotuhumiwa ndo wajibu, sasa anataka serikali ijibu nini? spika mjinga kama makinda sijawahi kumsikia tangu nizaliwe
chadema aka panya road wakimuona ashmta mshana wanachanganyikiwa
chadema aka panya road wakimuona ashmta mshana wanachanganyikiwa
wangefanya kama wananchi walivyowafanya wenyeviti wa ccm
kichapo kwa supika