Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

Hii hofu yao haina muda mrefu, itaondolewa kwa nguvu ya Umma. Kenya, majirani zetu, Bunge linaoneshwa na Tv zote, labda iamue kutokuonesha. Pia, tunashudia KESI kubwa au zenye mvuto zikionyeshwa live........ndio maanatunatengwa na wenzetu EAC.
 
Nimepitia post zako nyingi. Tatizo lako la msingi ni elimu yako ndogo ikichangiwa na mahusiano mabaya kwa jamii inayokuzunguka.
Siku hizi mtoto wa mama saidi nawewe unasema juu ya elimu ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
wewe si bure itakuwa Dr. Slaa alikuahidi kukuoa nini, maana kila komenti yako lazima umtaje!? Pole sana usijali Mungu atakujalia utapata Mume mwema mwingne!

Huyu anayejiita gsu inaonekana ToR yake ni kuhusika na Slaa. Hata hivyo nina wasiwasi na ueledi wake hata kwa mambo marahisi. Namwona wa hovyo kuliko laki si pesa.
 
Lipumba alistahili kipigo; mtoto wa mkulima aliwahi kusema; WAPIGWE TU! Wapokaidi kutii mamlaka za kulinda Amani! Binafsi sioni kosa la polisi, Unaambiwa usifanye Maandamano na kwamba kama ni Mkutano wako Tayari kuulinda Halafu ww ndo unataka wakutii" Ajifunze CDM viongozi wake wakiitisha Maandano wanakaa Gorofani wakichukua picha za wanywa viroba wao wanavyoSegwa na polisi ili wakikamatwa wakawawekee dhamana!
Yaani' Huyu kweli Prf. Lipumba..fu...!!

Ni mgeni uliyejiunga kwenye kundi la wajinga wenzako. Hakuna unachokifahamu kwakuwa elimu yako ya darasani ni ndogo sana hata wewe mwenyewe unafahamu hivyo
 
Naomba kuuliza waungwana, hivi kwa siku ya jana ambao bunge lilianza saa tatu na mnamo saa tano na nusu kikao kikaairishwa mpaka kesho (yaani leo saa tatu).

Je wabunge nayo siku ya jana walilipwa posho ya siku nzima?

Ndiyo. Kumbuka this money has been budgeted for.
 
Ni mgeni uliyejiunga kwenye kundi la wajinga wenzako. Hakuna unachokifahamu kwakuwa elimu yako ya darasani ni ndogo sana hata wewe mwenyewe unafahamu hivyo

Kama we mwenye elimu ndio unashabikia uvunjifu wa amani, basi we elimu yako ni buree, mafi matupu, kaa kimya, unamshabikia Lipumba...fu ovyo kabisa!
 
Jamani tujulishane bunge lina endelea leo au mpaka kesho,maana bado kinywa na mlisema saa kumi lita endelea,naombeni msaada wenu wadau mm niko chimbo sana,kisili kenya huku

Silioni. Sijui kama liliahirishwa tena au vipi? Nilichelewa kidogo kuwasha tv.
 
Siku moja yatawakuta yaliyotokea Ufaransa. TBCCM badilikeni, mageuzi huwa hayana macho.
 
Kama we mwenye elimu ndio unashabikia uvunjifu wa amani, basi we elimu yako ni buree, mafi matupu, kaa kimya, unamshabikia Lipumba...fu ovyo kabisa!

Alivunja amani gani? Eleza amani aliyovunja. Acha kushabikia ujinga kutokana na elimu yako ndogo.
 
mbwa jike wewe, kalale

Yap, i think he/she is a dog 🐶! Vijana juzi wamevunjwa miguu tukaishia kujadili mitandaoni! Impunity is a self propagating phenomenon, tusubiri police wetu watakuwa dogs "unreasonable humans" who will always be defending the corrupt rulers. Hivi hatuwezi kugeuza ile formula ya WAPIGWE TU ikawa ni police ndo WAPIGWE Tu?? How much are they paid by being so much shameless brutal!?
 
Kwa Mtanzania mwenye UFAHAMU ; HEKIMA NA UADILIFU ni lazima ujue mchezo mchafu wa kuwaficha wale wanaoeleza ukweli wa mambo ktk nchi kama wanasiasa (UPINZANI) na Wanaharakati. Kwa records za hatua za police kuvamia mikutano na maandamano ya haki ni wazi kuna mpango mahususi uliopo toka CCM aka serikali ya MAFISADI. Tafakari kabla ya kupost.
 
mbwa jike wewe, kalale


Daima msuguano kati ya watawala wadhalimu(mafisadi) na wananchi hauwezi kumalizwa kwa kutumia jeshi la polisi na mahakama utamalizwa kwa mgawanyo uliosawa wa rasilimali za nchi.
 
Ukweli tbc ukifungua utakuta habari za kinana mara analima mala anajifanya fundi umeme mimi inabidi niangalie mpira hawana maana ingeitwa tbccm
 
Back
Top Bottom