Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Napata mashaka makubwa na hiki chama cha ACT,, hiki chama kina malengo yake naona, sio siasa za kawaida tunazozijua. TISS agents wote naona wanajifungamanisha na hiki chama. Tufungue macho watanzania

unamatatizo wewe!? hao TISS unaowajua kweli au
 
Kama vyombo vya dola vya ccm vimeshindwa kuona kosa juu ya Rwaks, bado unasema ukweli unaweza kubadilishwa kuwa uongo! Ccm peke yake ndo inaweza kubadili uongo ukawa ukweli maana wao ndo watawala wanaweza kufanya lolote wanalotaka lakini Mungu tu ndo hayuko upande wao ndo maana mabaya yote wanayowafanyiwa wengine yanwarudi wao! "Chadema is protected by God, ccm is protected by gods"!
Hivi wewe uko nchi gani? Kupewa dhamana ndio kushinda casE? Hivi unafikiri case inayo mkabili gaidi Rwakatale imekwisha? hebu waulize wenzio Inatajwa lini tena ili ujue!
 
Ludovick no kijana asiyejitambua msaliti muuaji wa mageuz. Mtu a anayejitambua katu hawezi kutumika kama tambala. Ludovic hebu tusaidie wengine tuelewe kama kweli we we so yuda act ulikuwa unafanya mini?
 
Mkuu Gamaha usishangae,ACT ni mradi wa CCM.
ACT...Assist CCM Technically

ni mpu.mbavu pekee anaeweza kuamini hizo hekaya zenu za ufipa, kuusu ACT kupendwa na CCM, ACT inapendwa simply kwa sababu wamegundua kinawanyima usingizi just jiulizeni kwa mini hawaendi kwa jahazi asilia au vyama vingine!?
 
Last edited by a moderator:
Ludovick no kijana asiyejitambua msaliti muuaji wa mageuz. Mtu a anayejitambua katu hawezi kutumika kama tambala. Ludovic hebu tusaidie wengine tuelewe kama kweli we we so yuda act ulikuwa unafanya mini?

ona unauliza swali ambalo nimeshalijibu.poor you
 
Kaka Ludovick acha kujidhalilisha kamanda, Chagua chama kimoja kama ni ACT au CHADEMA, pia kwa jinsi nilivyokusoma hujui kujenga hoja sasa huyo Ben Saanane akija hapa atakuumba na kukuvua nguo mchana peupe.

alafu nyie wapiga vigeregere wa ben ndio mnao haribu Huu mpambano mleteni basis huyo saa tisa wenu!
 
Last edited by a moderator:
CCM daima imetumia wanasihasa wenye ndimi mbili kama weye MF Kabour lamwai sokwe MTU (Wasila) name wengine wengi orodha no ndefu mnoo ya waganga njaa. Hebu tanabaisha hapa uhusiano wako na mwigulu ACT na wasaliti wengine wa mageuzi maana tuliposikia tu uwepo wako tukajua mwigu yupo nyuma yako we we na zzk
 
alafu nyie wapiga vigeregere wa ben ndio mnao haribu Huu mpambano mleteni basis huyo saa tisa wenu!
Hahahaha Ben amekuwa mkimbiaJi sasa....... Alizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vimemshinda-Tundu lissu!


Ben tafadhali jitokeze ukumbane na Mwamba Ludovick!
 
Sasa nimetoa nafasi kwa huyu mzushi Ben Saanane aliyejifanya kuleta porojo hapa kuwa eti alijua mipango yetu. mwambieni aache kabiasa uongouongo. haumsaidii. ajue kuna maisha nje ya chadema, nje ya siasa.natoka mpaka nitakapoona kuna uhitaji tena
 
Ludovick ndiye alimrekodi lwakatare. alipojua mpango muovu wa lwakatare aliamua kumtafuta msaky kumueleza ili achukue tahadhari. msaky akamwambia Emmanuel Nchimbi aliyekuwa rafiki yake sana.
nchimbi ndiye alimwambia Mwigullu. so Mwigullu akamtafuta Ludo kwa simu na ndiyo maana walionekana wamewasiliana mara nyingi.hata elfu 50 aliyomtumia ilikuwa ya mawasilino.
kwa hiyo ni kweli kuwa lwakatare alikuwa anataka kumuua au kumdhuru msaky. ni kweli kuwa Ludo alimwambia Msaky. kisha akaambiwa Nchimbi naye akamwambia mwigullu. sasa kosa la ludo ni kumuokoa msaky? acheni unazi wa chadema

safi sana mkuu kwa kuwakumbusha hawa vichwa vya panzi hawaujui ukweli wanabaki kupiga kelele tu!
 
Mnafiki na Mganga njaa mkubwa!

Msaliti wa Mageuzi usiye na aibu!

Dhambi ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha nne!

Na bado!!
Mageuzi gani?Yale ya katibu ya kujukopesha pesa bila riba,wachaga kujipa vyeo na viti maalumu.wachaga kuongoza vitengo nyeti hapo ufipa.Hayo ndo mageuzi,basi acha tu awe msaliti
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Fia mbali huna lolote msaliti wewe. Ukinikasirikia njoo niteke ukaning'oe meno, kucha na macho bila ganzi. Njia za mwongo hudhihirishwa peupeeee.
 
wewe hata JF isipokufa bado hutambuliki. Vp kundi lako la uamsho mbona halisikiki?
Nakupa ofa ukija na matusi mapya nakupa dola 50 cash sawa kamanda wa Bavicha.
 
Unajua MTU anayejitanabaisha kaenda shule eti ana shahada alafu atumiwe na wanaume wenzie tena vinajana wenzake inaumiza sana. Ludo kama mwigu anakupenda kweli angekupa Kazi nyingine maana hii nyingine ni mission impossible hata kama wewe ni tiss hili LA kuua upinzani limekushinda kijana.
 
Hahahaha Ben amekuwa mkimbiaJi sasa....... Alizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vimemshinda-Tundu lissu!


Ben tafadhali jitokeze ukumbane na Mwamba Ludovick!

Ben Saanane hawezi kujibishana na bongo za panzi na mende. Unamfananisha Ben na huyu mchumia tumbo saliti Ludovick?
 
Sasa nimetoa nafasi kwa huyu mzushi Ben Saanane aliyejifanya kuleta porojo hapa kuwa eti alijua mipango yetu. mwambieni aache kabiasa uongouongo. haumsaidii. ajue kuna maisha nje ya chadema, nje ya siasa.natoka mpaka nitakapoona kuna uhitaji tena
Mkuu Joseph Ludovick hadi sasa umethibitisha Ben saanane ni mzushi na ni muongo ndio maana kakimbia! Lakini naomba uenDelee kumvumilia pengine atajitokeza.

Na hili onyo lako limfikie na akiweza aje hapa au aombe msamaha!

Wewe ni kiboko ya Bavicha daa Ben kakimbia kama hile ndege iliyo mleta Obama bongo!

Cc Ben Saanane!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom