Sio rahisi hivyo!Kuna kila dalili hii mada itafichwa kusikojulikana
Nimeipenda hii fisi kala fisi
Hajafuta maandishi.Bora amefuta kauli,Tufanye mambo mengine ya maana ila ukweli tumeshaujua,
Taifa la ajabu sana hili huu ujinga duniani unapatikana hapa!!! Ashakum si matusi si ajabu kiongozi wa Taifa fulani alimwambia mtawala fulani anaongoza maiti hii kauli ya miaka ya 70's huko hadi leo inaishi.
Tatizo lako Mshana Jr ndugu yangu unajua kila kitu ukianzia ulozi hadi uhasibu. Tofautisha masuala ya fraud (wizi, kutoonekana) na udhaifu wa mfumo simamizi (control weaknesses) ambayo hii ya pili ukija kwenye uhakiki kitu utakikuta ila hakijashughulikiwa katika utaratibu au mfumo unaosimamia kiasi kwamba udhaifu huo unaweza kuleta ubadhilifu.Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.
Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.
Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.
Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?
Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
Kwa namna mnavyokwama hata kunyoosha maneno mnasikitisha kuutetea wizi.Jikakamueni "labda" mtaeleweka na wasojua huo "uhasibu"!Poor you!Profesa Assad alivomjibu jiwe alikaa chini na kutikisa kichwa.Ulielewa anakupa ujumbe gani?Tatizo lako Mshana Jr ndugu yangu unajua kila kitu ukianzia ulozi hadi uhasibu. Tofautisha masuala ya fraud (wizi, kutoonekana) na udhaifu wa mfumo simamizi (control weaknesses) ambayo hii ya pili ukija kwenye uhakiki kitu utakikuta ila hakijashughulikiwa katika utaratibu au mfumo unaosimamia kiasi kwamba udhaifu huo unaweza kuleta ubadhilifu.
Haya ni masuala ya kihasibu na ukaguzi wa vitabu vya uhasibu, utawala, na mfumo wa usimamiz wa shughuli za kihasibu.
😀 😀 😀 😀 😀Kwa namna mnavyokwama hata kunyoosha maneno mnasikitisha kuutetea wizi.Jikakamueni "labda" mtaeleweka na wasojua huo "uhasibu"!Poor you!Profesa Assad alivomjibu jiwe alikaa chini na kutikisa kichwa.Ulielewa anakupa ujumbe gani?
Pamoja na huu mjadala,avatar yako imenifurahisha mnoo mkuu.Inaniambia hivi..."titi la mama ni tamu"...!Nadhani zito atakuwa kwenye wakati mgumu sana this weekend
Maana wasiojulikana wanamtafuta Kweli
Jana Bwana Mkubwa alijaa povu sana
😳 😳 😳 😎 😀 😀 😀 😀 😎 😎Mnachanganya mada.
Mmeshaambiwa zilinunuliwa hati fungani sasa aliyetumwa kununua akapewa zilizokomaa sana akamletea mpishi bila kumjulisha kuwa kapigwa kanyaboya gengeni.
Mpishi akachemsha akachemsha kumbe angeambiwa zimekomaa sana angeweka magadi,chilisosi na mdalasini.
Sasa kuni zikaisha na mvua ikanyesha ikabidi watoto walale njaa.
Mpaka msimamizi wa familia CAG anakuja asubuhi mpishi akasahau kumwambia kisa cha hatifungani.
Mjadala nimeufunga kwa sababu sasa hivi mboga zitakuwa chainiz na sukuma mwanzo mwisho.