Jifanyeni hamnazoKwa namna mnavyokwama hata kunyoosha maneno mnasikitisha kuutetea wizi.Jikakamueni "labda" mtaeleweka na wasojua huo "uhasibu"!Poor you!Profesa Assad alivomjibu jiwe alikaa chini na kutikisa kichwa.Ulielewa anakupa ujumbe gani?
Hizo zitakuwa hela hewa
Hata ambao wangemfunga kengele wakimkalibia tu wanatugeuka na kumsifia.Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.
Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.
Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.
Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?
Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
Which is equivalent to theft of a thread!Kuna kila dalili hii mada itafichwa kusikojulikana
200 bil zimeenda zanzibarWaseme tu Trillion 1.5 ziko wapi!
Chini ya miaka mitatu ufisadi umevunja rekodi ya dunia !Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.
Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.
Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.
Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?
Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
😀 😀 😀Mbunge mmoja
kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake. Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
Ulijiridhisha kuwa baby alitapeliwa? Maana kuna ulaghai mwingine mno!!Kuna siku nilitumwa nikanunue jeneza msiba wa jirani yetu.... Nikiwa nakaribia eneo la majeneza akatokea mpenzi wangu kapoteza pesa aliyotumwa kununua vitu vya dukani kwao (alitapeliwa na wajanja wa karata tatu) kwa ninavyomfahamu babaake alivyo mkali nikajikuta nachomoa 50,0000/= ya kununulia jeneza na kumpa... Haya yalikuwa matumizi nje ya bajeti
Hajamla fisi mwenzie anaenda kumstili mwenzie. Kama inavyonywa na wenzetu wa rangi ya Kijani.Nimeipenda hii fisi kala fisi