Yahusu kufuta kauli

Yahusu kufuta kauli

Hizo nguvu serikali inayotumia kupinga kila ovu linaloibuka juu yao wangeitumia kujenga maendeleo bila shaka leo tungekua dunia ya kwanza
 
Kwa namna mnavyokwama hata kunyoosha maneno mnasikitisha kuutetea wizi.Jikakamueni "labda" mtaeleweka na wasojua huo "uhasibu"!Poor you!Profesa Assad alivomjibu jiwe alikaa chini na kutikisa kichwa.Ulielewa anakupa ujumbe gani?
Jifanyeni hamnazo
 
Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.

Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.

Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.

Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!

Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?

Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
Hata ambao wangemfunga kengele wakimkalibia tu wanatugeuka na kumsifia.
 
Kwani zile alizokuwa anagawia wa kina mama baranani je, na zingine kajenga chato
 
Mbunge mmoja
kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake. Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
 
Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.

Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.

Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.

Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!

Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?

Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
Chini ya miaka mitatu ufisadi umevunja rekodi ya dunia !
 
Sichangii nimeelewa VP ila wengi mtakuwa MNA hisia nimemwamini nani. ( uzi mgumuuu)
 
Mbunge mmoja
kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake. Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!
😀 😀 😀
 
Kuna siku nilitumwa nikanunue jeneza msiba wa jirani yetu.... Nikiwa nakaribia eneo la majeneza akatokea mpenzi wangu kapoteza pesa aliyotumwa kununua vitu vya dukani kwao (alitapeliwa na wajanja wa karata tatu) kwa ninavyomfahamu babaake alivyo mkali nikajikuta nachomoa 50,0000/= ya kununulia jeneza na kumpa... Haya yalikuwa matumizi nje ya bajeti
Ulijiridhisha kuwa baby alitapeliwa? Maana kuna ulaghai mwingine mno!!
 
Back
Top Bottom