Yahusu kufuta kauli

Yahusu kufuta kauli

Yaani hata mimi nafuta kauli. Theluthi moja ya wabunge wa jamhuri ya tanzania sii wapumbavu.
Na pia naunga mkono hoja 1.5T haijaibiwa ila sawa na uk 34 haionekani matumizi yake!
 
Yaani hata mimi nafuta kauli. Theluthi moja ya wabunge wa jamhuri ya tanzania sii wapumbavu.
Na pia naunga mkono hoja 1.5T haijaibiwa ila sawa na uk 34 haionekani matumizi yake!
 
Yahusu kukumbushia ule msemo "hadithi njoo uongo njoo utamu kolea", ss kazi kwako ipi hadithi upi uongo kisha acha utamu ukolee
 
Huwa
Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.

Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.

Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.

Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!

Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?

Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830[/QUOTE
Huwa nakuelewa sana mkuu....!
 
Mjadala wa BILIONI 1500 unazidi kushika kasi... Sasa watu wanaulizwa ni kweli zimepotea... Wanasema hapana hazijapotea.

Na ni kweli hakuna panaposema zimepotea ila zimeingizwa kwenye matumizi yasiyoonekana kwenye makaratasi ya kumbukumbu. Sasa baada ya hapo kila mtu anaweza kuchanganya na za kwake.

Mbunge mmoja kule Afrika kusini wakiwa bungeni akasema nusu ya wabunge wote humu ndani ni wapumbavu. Kauli hii ikawakera wengi mpaka supika akamwamuru jamaa afute kauli yake.

Hakubisha! Akakubali kufuta kauli yake kwa kusema nusu ya wabunge wote humu ndani sio wapumbavu!!

Hivi tofauti ya kupotea na kutojulikana kilipo kitu ni ipi!?

Tunaishi nchi ya wanoni... Ni nani akamfunge paka kengele!? Ili akija wote tumsikie? View attachment 750830
Nimeikubali hiii.....

Ni sawa na bilauli iliyowekwa maji mpaka nusu bilauli, halafu kuwe na watu au makundi mawili yanayobishana kwamba... THE GLASS IS HALF EMPTY au THE GLASS IS HALF FULL..... ni fools tu hawataona kwamba wanazungumzia kitu kimoja
 
Nimeikubali hiii.....

Ni sawa na bilauli iliyowekwa maji mpaka nusu bilauli, halafu kuwe na watu au makundi mawili yanayobishana kwamba... THE GLASS IS HALF EMPTY au THE GLASS IS HALF FULL..... ni fools tu hawataona kwamba wanazungumzia kitu kimoja
 
DEFINITION of 'Embezzlement' Embezzlement is a form of white-collar crime where a person misappropriates the assets entrusted to him or her. In this type of fraud the assets are attained lawfully and the embezzler has the right to possess them, but the assets are then used for unintended purposes.

Unintended purpose inaweza ikawa
1. Kufanya ambayo hayakupangwa
2. Kuiba

Hili la kuibwa ni kubwa kwa vile hakuna nyaraka halali zinazothibitisha uchukuaji toka zilipokusanyiwa, wala nyaraka za matumizi yake....

UKIZIKOSA NYARAKA HIZO MBILI (ya wakati unapewa hela, na ya matumizi, e.g unapofanya retirement) THERE IS NO OTHER WORDS ZAIDI YA KUSEMA NI WIZI
 
DEFINITION of 'Embezzlement' Embezzlement is a form of white-collar crime where a person misappropriates the assets entrusted to him or her. In this type of fraud the assets are attained lawfully and the embezzler has the right to possess them, but the assets are then used for unintended purposes.

Unintended purpose inaweza ikawa
1. Kufanya ambayo hayakupangwa
2. Kuiba

Hili la kuibwa ni kubwa kwa vile hakuna nyaraka halali zinazothibitisha uchukuaji toka zilipokusanyiwa, wala nyaraka za matumizi yake....

UKIZIKOSA NYARAKA HIZO MBILI (ya wakati unapewa hela, na ya matumizi, e.g unapofanya retirement) THERE IS NO OTHER WORDS ZAIDI YA KUSEMA NI WIZI
.
tapatalk_1524507667933.jpeg
 
Back
Top Bottom