Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,419
- 5,699
Taifa la ajabu sana hili huu ujinga duniani unapatikana hapa!!! Ashakum si matusi si ajabu kiongozi wa Taifa fulani alimwambia mtawala fulani anaongoza maiti hii kauli ya miaka ya 70's huko hadi leo inaishi.
Na wangefufuka hivi leo kweli angemsifu marehemu Kenyatta kwa kuona mbali sana. R.I.P Jomo Kenyatta and Julius K.N Nyerere
