PostGE2025 Yaani uonewe na Al Jazeera, BBC, France 24 na CNN? Wewe nani kwa mfano?

PostGE2025 Yaani uonewe na Al Jazeera, BBC, France 24 na CNN? Wewe nani kwa mfano?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Unajua hata kwenye kupima mizani kuna mambo hayaaingii akilini.

Machawa na Wajinga wanaotumwa na Samia kujaribu kutuliza upepo wanaleta propaganda mfu eti Wanaonewa na CNN

Wanasahau jambo lililosemwa na CNN kitaalam zaidi lilishasemwa na vyombo vinavyoaminika vya kimataifa vya habari wakiwemo Al Jazeera kutoka Qatar, France 24 wa Ufaransa, DW wa Ujerumani pamoja na BBC wa Uingereza.

Kwa akili za kawaida tu hata kama unaonewa inakuwaje vyombo vyote vya habari vya Kimataifa vyenye credibility isiyo na shaka vikuonee? Una nini hadi uonewe?

Kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Safari hii Samia ndo utaelewa nini kiliwapata kina Milosevic, Pinochet na wengineo.
 
CCM na samia wanajiona wao ndio Elon musk na wenye uwezo kuizidi kijeshi na uchumi kuanzia USA mpaka china.
 
Samia kazungukwa na genge la wahuni mafala
Unajua hata kwenye kupima mizani kuna mambo hayaaingii akilini.

Machawa na Wajinga wanaotumwa na Samia kujaribu kutuliza upepo wanaleta propaganda mfu eti Wanaonewa na CNN


Wanasahau jambo lililosemwa na CNN kitaalam zaidi lilishasemwa na vyombo vinavyoaminika vya kimataifa vya habari wakiwemo Al Jazeera kutoka Qatar, France 24 wa Ufaransa, DW wa Ujerumani pamoja na BBC wa Uingereza.

Kwa akili za kawaida tu hata kama unaonewa inakuwaje vyombo vyote vya habari vya Kimataifa vyenye credibility isiyo na shaka vikuonee? Una nini hadi uonewe?


Kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Safari hii Samia ndo utaelewa nini kiliwapata kina Milosevic, Pinochet na wengineo.
 
Anataka kuwa kama MGABE watamfundisha.....wakina makamba wapo benchi kisa nani??KIKWETE na kikwete ana muandaa mtoto wake ila aliona JANUARY MAKAMBA ni kichwa kuliko mtoto wake....Mama kuwa makini na funguka zaidi na zaidi....
 
January wa kumuweka benchi kwenye wizara zako zote??😂😂😂Joke of the year.....Ila angalia watu ambao umeweka serikalini wote wapo upande wa nani??Hilo jibu unalo najuwa una watu wako humu watakufikishia ujumbe tu....
 
Usalama wa nchi ni jukumu letu kama taifa huru, hatupangiwi na CNN waka nani.
Vituo vyao ni maalumu kwa ajili ya vita, matetemeko ya ardhi kwa ujumla machafuko ndo chakula kikuu.
Sie tunaendela na tv zetu za miradi ya visima na madaraja.
 
Wameshikwa pabaya, wakisimama nchale, wakiinama nchale

20251117_152800.jpg



KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kumbe na wenyewe huwa wanaonewa na iliyo miguvu yao isiyo fungamana na akili!
 
Back
Top Bottom