Wanaume wengine wanasababisha wapenzi wao wasiwe wawazi katika mahusiano yaliyopita au majanga wanayokutana nayo. Kuna rafiki yangu mmoja baada ya kumpata mpenzi wake ambaye ni mme sasa alijitahidi kuweka mambo yake wazi ili yasije leta shida siku za mbeleni. Historia ile aliyoweka wazi imekuwa fimbo kwa mme kila wanapishana kiswahili katika maisha yao ya ndoa. Mara ndiyo maana x bf wako alikuacha mara tabia yako siyo nzuri ndiyo maana fulani alikutenda hivi.
Kwa hali hii watu uwazi kwa wenzi wao unaleta shida siku za mbeleni kama utakutana na mtu hasiyeelewa.
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
lazima utamchukia tu. Hata akimsogelea mama yako uta-mind, the bast:censored:Dah!!...
I can only imagine how crappy this can feel [lol...I dont speak for all men]
Ila nita-mind sana kila nikimuangalia jamaa na kukumbuka kuwa amekula mke wangu na dadangu pia...sad😡
hayo sasa matusi, mie nimeolewa na naheshimu ndoa yangu sana, ningekuwa wa kugegedwa nao ndani ya hiyo miaka 6 tungeshatafutana, asante kwa ushauri
...kwa hiyo bado unampenda eksi?!? mhhh
mmh pole ila mi ndio ningekuwa mme wako unaniambia, naanza bifu na jamaa kwani haiwezekani agonge wife na sista
Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
Pole mwanakwetu,Kumuona x-wako tu, ukalowesha amana,
Ukajiandaa kuipokea dhakari,
Ukalegea huku umerembua macho.
Ukakumbuka mikito ya zamani;
Mikito bambam ya kuufikirisha mwili na roho;
Ukakumbuka ulikuwa ukifika orgasm mara tano kwa mshindo wake mmoja;
Ilhali sasa hivi mumeo anafika mara tatu ilhali wewe uko mshindo mmoja.Nimekupenda naima79 kwa kuamua kuuweka wazi ukweli;
Umelikumbuka likisima la zamani na hasa ukizingatia hukulifukia?
Ni raha kwa kwenda mbele.
Vipi unamuonea wivu wifi yako?
Kazi unayo.
Lakini wakumbuke Msondo ngoma
"Usiuendekeze e moyo utakavyokutuma"
Unadanganya jaribu kushinda"
Usiposhinda;
Hunabudi kuumia;
Utajivika KITANZI pasina huruma"
Ndimi Bazazi asiye bazazi>
tatizo liko wap hapoWazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
so why being bothered na akijua hayo?? si huwa hamuongelei ya nyuma?? f that is the case hata akijua hatakuuliza as ni past. ama ??
may be The Boss atanisaidia jambo hapa nashindwa kuelewa ulimaanisha nini.