X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

kwa upande wangu naona ningekuwa na amani sana kama nikimwambia husband..... wengine hawanihusu

tatizo si kusema ukweli ila umeshafikiria ni nini kitafuata baada ya wewe kuongea uo ukweli....ninacho ona apa ukweli wako utakua kwa lengo la kubomoa na si kujenga ata kidogo.
 
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hataukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
as long as huyo ni ex wako basi hayakuhusu

unless hukumalizana nae
 
ngoja sasa nieseme wazi kwa naima79 nini cha kufanya, wala huitaj kuniazima moyo mamii. fanya hivi...............
and believe me ita work out.............muassess mumeo ujue kwako ni nani, je ni mume rafiki?? kiasi kwamba uko free kuongea nae hata nasty words? je ni baba mwenye nyumba kwamba akiingia ndani nyote mnapiga kimya?? je ni mtu wa kuskiliza zaid maneno ya watu?? je anakuamini wewe na hujawah kuondoa uaminifu wa kwake hata kwa jambo dogo?? je ni mtu wa kuelewa ana ni wale watu walalamish na wanaopenda kuona wamenyanganyanywa haki zao ama wanao jizidishia haki??

ukisha ma yuko katika kundi gani fuata haya
  • kama anajizidishia haki na mlalamishi, basi wewe usiumize kichwa chako kwenye namna utakavyo mridhisha iwapo atagundua kwuwa huyo ni x wako. sifa kubwa ya watu walalamish hata ufane nini hawaridhiki so na wewe kwa kulijua hilo jua hata ufanyeje hawez kuridhika na kadiri muda unavyosonga basi atasahau tu na kuona ni kawaida najua hataweza kulaumu milele ama mwaka mzima.
  • kama ni rafiki, uko huru hata kuongea nasty words, ni muelewa na anakuamini na hujawah kushusha uaminifu wako kwake basi mweleze wewe tena kwa hali ambayo ataona ni kawada usiifanye formal sana itamstua but just tell hima kama utani tena ku mko zenu mahali mnapata raha, najua ataskiliza na kuipotezea as anaelewa kwamba yeye ndiye mume wako wa dhati.
  • kama ni kinyume cha hiyo poinya pili basi usiseme jambo keep your mouth shut and talk na huyu x wako kwamba aawaambie ndugu wale wanakujua wasiseme lolote tena awatishe kwamba iwapo mchumba wake atajua hayo basi itamletea shida. uzuri ni kwamba hakuna mwenye ubavu wa kumface mumeo na kumwambia kwamba ahuyo alikuwa x wako direct. tena hakuna atakaye thubutu ku jeopardize uchumba wa huyu mdada eti kisa tu alitembeaga na wewe.
wasalaam
gfsonwin
gfsonwin, ninavyojua mimi mawifi huwa hawaivi.Je, naima79 ajiandae vipi kukabiliana na wifi yake mara wifi huyu atakapojua kwamba mume wake kipenzi alishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na naima79?
 
Last edited by a moderator:
ngoja sasa nieseme wazi kwa naima79 nini cha kufanya, wala huitaj kuniazima moyo mamii. fanya hivi...............
and believe me ita work out.............muassess mumeo ujue kwako ni nani, je ni mume rafiki?? kiasi kwamba uko free kuongea nae hata nasty words? je ni baba mwenye nyumba kwamba akiingia ndani nyote mnapiga kimya?? je ni mtu wa kuskiliza zaid maneno ya watu?? je anakuamini wewe na hujawah kuondoa uaminifu wa kwake hata kwa jambo dogo?? je ni mtu wa kuelewa ana ni wale watu walalamish na wanaopenda kuona wamenyanganyanywa haki zao ama wanao jizidishia haki??

ukisha ma yuko katika kundi gani fuata haya
  • kama anajizidishia haki na mlalamishi, basi wewe usiumize kichwa chako kwenye namna utakavyo mridhisha iwapo atagundua kwuwa huyo ni x wako. sifa kubwa ya watu walalamish hata ufane nini hawaridhiki so na wewe kwa kulijua hilo jua hata ufanyeje hawez kuridhika na kadiri muda unavyosonga basi atasahau tu na kuona ni kawaida najua hataweza kulaumu milele ama mwaka mzima.
  • kama ni rafiki, uko huru hata kuongea nasty words, ni muelewa na anakuamini na hujawah kushusha uaminifu wako kwake basi mweleze wewe tena kwa hali ambayo ataona ni kawada usiifanye formal sana itamstua but just tell hima kama utani tena ku mko zenu mahali mnapata raha, najua ataskiliza na kuipotezea as anaelewa kwamba yeye ndiye mume wako wa dhati.
  • kama ni kinyume cha hiyo poinya pili basi usiseme jambo keep your mouth shut and talk na huyu x wako kwamba aawaambie ndugu wale wanakujua wasiseme lolote tena awatishe kwamba iwapo mchumba wake atajua hayo basi itamletea shida. uzuri ni kwamba hakuna mwenye ubavu wa kumface mumeo na kumwambia kwamba ahuyo alikuwa x wako direct. tena hakuna atakaye thubutu ku jeopardize uchumba wa huyu mdada eti kisa tu alitembeaga na wewe.
wasalaam
gfsonwin

tunahangaiiikaaaaaa kutunza skeletons

siku zote kuweli na uwazi hudumu milele... najua wengi kama si wote tumetumbukia kwenye victimizations za ajabu kutokana na kugubika makombe (kuficha ukweli ni unafiki MKUU)

the girl need to call a spade as it is, na hakuna cha mlalamishi wala nini, jamaa needs to know everything... mwanaume wa maana atakuheshimu na kukulinda na hata huyo mdada atajitahidi kulinda ndoa yake na kupunguza risk factors za kuwaweka hao old timers kwenye precarious situations

hizi siri baada ya muda huharibu sana mahusiano, awe mkweli tu kwamba mme mwenza anaoa dada kwisha!!!


NIMEJIFUNZA KITU KIMOJA MUHIMU SANA KATIKA MAISHA, PEMBE HALIFICHIKI.... THE BEST THING TO DO IS TO RECOGNIZE IT
 
Hahahah mkuu hata kama asingemuoa wifi yake uwezekano wa kufanya hivyo bado ungalikuwapo tu...

Sisi wanaume bwana.Huyu jamaa ipo siku atamkumbushia naima79 enzi zile!!!!!!!!!!! ili aone reaction yake.
 
Last edited by a moderator:
tunahangaiiikaaaaaa kutunza skeletons

siku zote kuweli na uwazi hudumu milele... najua wengi kama si wote tumetumbukia kwenye victimizations za ajabu kutokana na kugubika makombe (kuficha ukweli ni unafiki MKUU)

the girl need to call a spade as it is, na hakuna cha mlalamishi wala nini, jamaa needs to know everything... mwanaume wa maana atakuheshimu na kukulinda na hata huyo mdada atajitahidi kulinda ndoa yake na kupunguza risk factors za kuwaweka hao old timers kwenye precarious situations

hizi siri baada ya muda huharibu sana mahusiano, awe mkweli tu kwamba mme mwenza anaoa dada kwisha!!!


NIMEJIFUNZA KITU KIMOJA MUHIMU SANA KATIKA MAISHA, PEMBE HALIFICHIKI.... THE BEST THING TO DO IS TO RECOGNIZE IT
TIMING you have said it correct as nilivyokuwa nimeshasema huko juu. naima79 na mumewe walikose sana kutokuambiana ukweli juu ya past experiences zao. to me this is too bad na ukweli sijaweza hata siku moja kuficha ukweli juu ya maisha yangu ya nyuma kwa hubby wangu.

labda tujiulize hivi ingekuwa naima79 ana mtoto alizaaga huko nyuma je angemficha mumewe?? ama kwann mumewe kama anamtoto je amemficha?? to me nimekwenda mbali sana as hii situation haina tofauti n ukuoane na hubby kisha baada ya miaka kadhaa ndio uskie anamtoto alizaaga zamani kabla hamjaoana.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, ninavyojua mimi mawifi huwa hawaivi.Je, naima79 ajiandae vipi kukabiliana na wifi yake mara wifi huyu atakapojua kwamba mume wake kipenzi alishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na naima79?

naomba nikupinge

I have been married for ten year, na silaha ya mke wangu ni mawifi zake na silaha ya dada zangu ni wifi yao, wnaiva hadi "inanidhuru mimi kimtindo" nakosa wapambe kwenye maamuzi magumu

sio kila wakati hii kitu inaaply
 
gfsonwin, ninavyojua mimi mawifi huwa hawaivi.Je, naima79 ajiandae vipi kukabiliana na wifi yake mara wifi huyu atakapojua kwamba mume wake kipenzi alishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na naima79?

hivi wfikiri kwamba huyu wifi yake naima79 hataman kuona ndoa yake ina amani?? manake akileta gubu la wifi ataulizwa jambo moja tu je alikuwa gf kabla ama baada?? je kwann umetafuta mchumba ambaye tayari alishakuwa na msururu wa mademu?? kama vipi akatafute ingizo jipya. huyu wifi wala simhofii hata chembe
 
Last edited by a moderator:
hivi wfikiri kwamba huyu wifi yake naima79 hataman kuona ndoa yake ina amani?? manake akileta gubu la wifi ataulizwa jambo moja tu je alikuwa gf kabla ama baada?? je kwann umetafuta mchumba ambaye tayari alishakuwa na msururu wa mademu?? kama vipi akatafute ingizo jipya. huyu wifi wala simhofii hata chembe
Halafu ukute kwamba dada zake na yule bwana Walimpenda zaidi naima79 kuliko huyu wifi mtarajiwa.Kila la kheri, wifi yake naima79.
 
Last edited by a moderator:
naomba nikupinge

I have been married for ten year, na silaha ya mke wangu ni mawifi zake na silaha ya dada zangu ni wifi yao, wnaiva hadi "inanidhuru mimi kimtindo" nakosa wapambe kwenye maamuzi magumu

sio kila wakati hii kitu inaaply
TIMING nimeolewa 11 yrs now huwez kuamini mawifi zangu ni mashoga zangu, hadi watu wanashindwa kudistinguish wanajua kwamba mimi i mtoto wa hiyo familia. ukitukuta ni marafiki, wapendwa hadi sura zimefanana. mume wangu sasa ndio anapata tabu as anaona kama yeye ambaye ni ndugu yao hawamkumbuki kama mimi. home ni full kujiachia mwanzo mwisho na sijawah hata kugombana nao toka niolewe ingawa tuliwah zamani sana kutofautiana kimtazamo but walipo nielewa shida iliisha.

ugubu wa mawifi ni factor ya wewe mwolewaji unawachukuliaje mawifi zako ukienda na silaha za kujiham jua kwamba unatengeneza uwanja wa mapambano. nenda na silaha za kuwa rafiki na kiungo cha upendo kwenye huo mji.
 
Last edited by a moderator:
Halafu ukute kwamba dada zake na yule bwana Walimpenda zaidi naima79 kuliko huyu wifi mtarajiwa.Kila la kheri, wifi yake naima79.

huko ni kuchimbua mzizi katika mti ambao umependwa leo wategemea nini?? mambo mengine bana huwa tunasemalet matters take their natural way.
 
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.

If you really love your husband then SHUT THE ---- UP. I know, telling your husband will relieve you from your internal turmoil, but the truth is: telling him is transferring the turmoil to him. And that's not fair to him. You are the cause, deal with it, see to it that your husband never worries or feel jealous about you.

Sometimes honesty is selfish. If you love him you will protect him
 
naomba nikupinge

I have been married for ten year, na silaha ya mke wangu ni mawifi zake na silaha ya dada zangu ni wifi yao, wnaiva hadi "inanidhuru mimi kimtindo" nakosa wapambe kwenye maamuzi magumusio kila wakati hii kitu inaaply
Kumbe wewe hatuchekani. Wife anaiva kinoma na dada zangu, utadhani wanazaliwa!
kwa hiyo sio lazima mawifi kuchukiana
 
Hakuna sababu ya wewe kuwaeleza ukweli huo, hayo uliyoyafanya yalikuwa zamani ila sasa una NDOA yako. Usiharibu uhusiano wa wifi yako na mchumba wake maana mume wako akfahamu atakuwa na hasira kwanza kwa mkewe kutembea na huyo mchumba wa dada yake na pili dada yake tena kuolewa na jamaa huyo huyo. Ni hekima kunyamaza kimya kwa sasa. Usiwe na haraka na wala usirudishe mahusiano na Xboy utaharibu kila kitu
 
Tatizo lako nini kwani?! What if wifi yako anajua khs wewe na huyo jamaa yake!?
Au bado kawivu kapo kapo!!?
 
Ninaemuwaza hapa ni mume wangu mpendwa, akijua hili atalielewa kama ambavo wewe umelielewa?
Unasema kweli, wanawake tunaweza kusamehe ila ndugu zetu hawa wivu wao ulivyo maisha yako yatakuwa magumu na hali hii itaivuruga familia ya wakwe zako.
 
Back
Top Bottom