Uncle john
Member
- Oct 22, 2012
- 51
- 13
Wifi yako si dada yake, sasa atamuoaje?
Weka wazi kila kitu kwa kila mhusika, I mean mumeo, wifi yako, huyi x... Ila nijuwavyo, atakugegeda tu siku zijazo huamini subiri
Nimeact hivohivo sasa issue ni kwamba ndugu zake wananifaham mwisho wa siku wasije mjulisha wifi yao mtarajiwa ambae ni wifi yangu mpenzi pia
Na wanavyojuwaga kujisifia.. we acha tu utawasikia.... Yaani mimi nimenusurika kuwa sista... nilivoacha nikakutana na kafala kamoja hata sijui kalinipate ... Yaani wewe ndo wa type yangu.........naima79 tatizo ni nini haswa??
kwani mumeo alikukuta bikra?? je kama hakukuta si alijua kwamba yeye ni successor wa mwanaume mwingine?? to me wala nisingesema jambo manake toka mwanzo ningekuwa nimesha mgusia kwamba x wangu aliitwa nani etc. so ikitokea kaja kumposa tu kwenye familia why shld i care??
to me nimeona kama vile kuna jambo ambalo hukumweleza hubby wako mwanzoni na sasa wafikiri itakuwaje likibumburuka as may be ulimwambia niliwah kutembe na mtu mmoja tu tena na jina ukampatia halafu leo hii amekuja huyu na jina jipya. na kama ndivyo hiyo ni case nyingine na nakuambia tu mapema you wont win your hubby's trust kama ndivyo.
And that is where the problem is...... KUMBUKA WE PREDICT THE FUTURE, BY KNOWING OUR PAST AND PRESENT.... Hata kama hapendi/hupendi kujuwa mwenzio alipita wapi, ni vizuri kufanya hivyo ili UWEKE MBALI NA TEMBO MAPEMAAAAAAA....Dear unajua watu tupo tofauti, mimi namume wangu hatukai tukaongelea past kuwa yeye alipita wapi na mimi nilipita wapi, tulivokutana tuliongelea yanayotuhusu sisi ambayo yana manufaa kwetu tu, sio wote wanapenda kuzungumzia walikopita
Na wanavyojuwaga kujisifia.. we acha tu utawasikia.... Yaani mimi nimenusurika kuwa sista... nilivoacha nikakutana na kafala kamoja hata sijui kalinipate ... Yaani wewe ndo wa type yangu.........
Sasa baada ya muda jamaa akianza kupata list halisi, ndo yanatokeaga haya.... full wasiwasi....
Wanawake, yaani kama ma-X wako wanaweza jaa kwenye YUTONG moja au mbili ni bora uweke wazi mapema...!!! Si kujifanya mtakatifu wakati ni mtakavitu....Kumbukeni, WHAT GOES ARROUND, COMES BACK ARROUND....
Dear unajua watu tupo tofauti, mimi namume wangu hatukai tukaongelea past kuwa yeye alipita wapi na mimi nilipita wapi, tulivokutana tuliongelea yanayotuhusu sisi ambayo yana manufaa kwetu tu, sio wote wanapenda kuzungumzia walikopita
Inawezekana unasema kweli au si kweli, ila unapohitaji msaada wa ushauri usije ukwaweka aina comments uzipendazo, haitakusaidia. Kuna zingine chungu lakini ni dawa. Hiyo post unayoiona kuwa ni mbaya kwa ujumla wake inakushauriSeems una matatizo ya kisaikolojia umeyahamishia hapa kwangu omba msaada JF itakusaidia tu, maana umeshika comment -----, jitahidi kutoa comment zinazojenga na kufundisha kama wenzako
so why being bothered na akijua hayo?? si huwa hamuongelei ya nyuma?? f that is the case hata akijua hatakuuliza as ni past. ama ??
may be The Boss atanisaidia jambo hapa nashindwa kuelewa ulimaanisha nini.
And that is where the problem is...... KUMBUKA WE PREDICT THE FUTURE, BY KNOWING OUR PAST AND PRESENT.... Hata kama hapendi/hupendi kujuwa mwenzio alipita wapi, ni vizuri kufanya hivyo ili UWEKE MBALI NA TEMBO MAPEMAAAAAAA....
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.