X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

naima79 kumbe bado unampenda mshikaji.
Hebu jidai humjui na wala humfahamu

Nimeact hivohivo sasa issue ni kwamba ndugu zake wananifaham mwisho wa siku wasije mjulisha wifi yao mtarajiwa ambae ni wifi yangu mpenzi pia
 
Last edited by a moderator:
Nimeact hivohivo sasa issue ni kwamba ndugu zake wananifaham mwisho wa siku wasije mjulisha wifi yao mtarajiwa ambae ni wifi yangu mpenzi pia
Ruka kimanga, mwambie mumeo kuwa wewe alipokuoa ulikuwa bikira, ila tu ilitoka ulipokuwa unajifunza kuendesha baiskeli
 
Weka wazi kila kitu kwa kila mhusika, I mean mumeo, wifi yako, huyi x... Ila nijuwavyo, atakugegeda tu siku zijazo huamini subiri

hayo sasa matusi, mie nimeolewa na naheshimu ndoa yangu sana, ningekuwa wa kugegedwa nao ndani ya hiyo miaka 6 tungeshatafutana, asante kwa ushauri
 
Ex kumuoa wifi yako hayakuhusu. Just to be on the safe side mwambie mume wako akae akijua. As for wifi, huna haja ya kumwambia, mtu wake atamwambia mwenyewe akiona kuna umuhimu wa yeye kujua.
Because he was your ex and he is now part of the family ni bora ku-avoid kua nae karibu, kuzungumza nae in private na mengine kama hayo. Soon utasahau kua mliwahi ku-date.
 
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.

Hayatuhusu
 
Kwani huyo X wako alikuwa na matatizo yoyote ya kitabia, afya n.k?
Kama hana tatizo lolote na ni mtu mwema hapo sioni tatizo zaidi ya kutaka tu kuyakuza mambo.
Mwenzio kapendwa na kaonekana wa thamani acha aolewe kama ambavyo nawe umeolewa kwa sasa...
Sio X wala wifi ambaye ni ndugu yako hivyo hakuna ubaya wowote!!
 
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.

Hapo ndo tangazo la TUKO WANGAPI linaonekana umuhimu wake ...................................!:frusty:
 
hayo sasa matusi, mie nimeolewa na naheshimu ndoa yangu sana, ningekuwa wa kugegedwa nao ndani ya hiyo miaka 6 tungeshatafutana, asante kwa ushauri

aaaah nimekupata kumbe hamtarasuani tena , basi hakuna tatizo ..................!
 
Kwani huyo X wako alikuwa na matatizo yoyote ya kitabia, afya n.k?
Kama hana tatizo lolote na ni mtu mwema hapo sioni tatizo zaidi ya kutaka tu kuyakuza mambo.
Mwenzio kapendwa na kaonekana wa thamani acha aolewe kama ambavyo nawe umeolewa kwa sasa...
Sio X wala wifi ambaye ni ndugu yako hivyo hakuna ubaya wowote!!

Ninaemuwaza hapa ni mume wangu mpendwa, akijua hili atalielewa kama ambavo wewe umelielewa?
 
hayo sasa matusi, mie nimeolewa na naheshimu ndoa yangu sana, ningekuwa wa kugegedwa nao ndani ya hiyo miaka 6 tungeshatafutana, asante kwa ushauri
We sema matusi tu... lakini ni hali halisi, inaonekana unapenda tuseme unayopenda kuyasikia... Kwani sababu ya kuachana ilikuwa ni nini?
 
nimeact hivohivo sasa issue ni kwamba ndugu zake wananifaham mwisho wa siku wasije mjulisha wifi yao mtarajiwa ambae ni wifi yangu mpenzi pia
magari yamegongana sio
 
Kwani huyo X wako alikuwa na matatizo yoyote ya kitabia, afya n.k?
Kama hana tatizo lolote na ni mtu mwema hapo sioni tatizo zaidi ya kutaka tu kuyakuza mambo.
Mwenzio kapendwa na kaonekana wa thamani acha aolewe kama ambavyo nawe umeolewa kwa sasa...
Sio X wala wifi ambaye ni ndugu yako hivyo hakuna ubaya wowote!!
.

Nakubaliana na 8 watu, si nduguyu huyo na ninachokiona ndoa zenu zitaimarika zaidi maana wifi akisema jamaa yuko hivi au vile wewe unamjua hivyo utamwelekeza ukweli alivyo jamaa, Hiyo ni bahati isiyokifani take that way.
 
Uwe serious kama hujawahi kumuona huyo jamaa popote, hata ndugu zake wakisema mmeo akiona jinsi hauna time na jamaa ataona may be kwa sababu ulikuwa hujampata yeye(mmeo)....xboy wako akiwatembelea uonyeshe upendo wa juu kwa mmeo....kaa mbali kabisa na huyo X hata akikuuliza kitu jibu kwa mkato,mmeo atajisikia vizuri,jamaa atazidi kukaa mbali nawe.
 
Binafsi sioni ugumu wowote maana hata huyo X wako asipooa kwenu kama una nia ya kuwa naye karibu bado una uwezo wa kufanya hivyo.
Kwa mtu muelewa kama mimi sioni tatizo lolote maana huyo X sio kwamba anakuja kuwa mkata majani nyumbani kwenu, bali atakuwa ni jamaa wa karibu mwenye mji na maisha yale elsewhere...
Au unahisi wivu? maana ninyi wadada mna wivu sana!!!

Ninaemuwaza hapa ni mume wangu mpendwa, akijua hili atalielewa kama ambavo wewe umelielewa?
 
Back
Top Bottom