X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

X Boyfriend anataka kumuoa wifi yangu

Nilimaanisha atakavojua ni tofauti na jambo ambalo hamjalizungumzia kabisa umeelewa? kama jambo hatujalizungumzia maana yake linakuwa unknown so haliwezi leta shida, hili litafahamika na linaweza msumbua

kwann limsumbue?? nafkiri unashindwa kuelewa jambo moja kwamba kama sio desturi yenu kuongelea past na kama ndivyo mlivyojizoeza hata akijua haya hatouliza as ataelewa kabisa kwamba mke wangu alikuwa na bf na bf sasa anamuoa mdogo wangu na mm ndie ninaye ish na mke wangu basi.

kwan kuna shida gani hapo?? hakuna shida hapo unless wewe ndio unataka kuicreate
 
naima79 tatizo ni nini haswa??

kwani mumeo alikukuta bikra?? je kama hakukuta si alijua kwamba yeye ni successor wa mwanaume mwingine?? to me wala nisingesema jambo manake toka mwanzo ningekuwa nimesha mgusia kwamba x wangu aliitwa nani etc. so ikitokea kaja kumposa tu kwenye familia why shld i care??

to me nimeona kama vile kuna jambo ambalo hukumweleza hubby wako mwanzoni na sasa wafikiri itakuwaje likibumburuka as may be ulimwambia niliwah kutembe na mtu mmoja tu tena na jina ukampatia halafu leo hii amekuja huyu na jina jipya. na kama ndivyo hiyo ni case nyingine na nakuambia tu mapema you wont win your hubby's trust kama ndivyo
.
mmmhhh............shikamoooo!!!!!!
uwazi kwenye mapenzi ya sasa ni muhimu pengine kuliko mapenzi yenyewe!!!!!
 
Mwambie mumeo kuwa uliwah kuwa na mahusiano na huyo mkaka, na hamkudumu na hujawah kumsikia tena tangu kupindi hicho na sasa ni miaka 6 na kuhusu wifi, ataambiwa na jamaa yake...

nakuunga mkono...............mdada ameshainvest sana kwa hubby wake
 
kwann limsumbue?? nafkiri unashindwa kuelewa jambo moja kwamba kama sio desturi yenu kuongelea past na kama ndivyo mlivyojizoeza hata akijua haya hatouliza as ataelewa kabisa kwamba mke wangu alikuwa na bf na bf sasa anamuoa mdogo wangu na mm ndie ninaye ish na mke wangu basi.

kwan kuna shida gani hapo?? hakuna shida hapo unless wewe ndio unataka kuicreate

mimi sijaona shida yoyote ile! Anatakiwa amwambie tu, maana asipomwamaia ajue lazima itakuja kujulikana tu. Na itakuwa mbaya zaidi sababu watakuwa wameoana..azibe ufa kwanza atakuona jasiri na atakuwa amemuepusha na aibu kama wataoana na kujulikana
 
mh! inahitaji busara ila mi sioni problem! kama vipi tule ubwabwa huo!
Wazima wapendwa, jamani X boyfriend wangu anataka kumuoa wifi yangu, walikkutana vp sifaham, wana uhusiano mda gani sifaham lakini juzi ndio tumetabulishwa rasmi nikiangalia mgeni ni Xboyfriend bado kidogo nizimie maana nilijikaza tu jamani mume wangu akijua yule alikuwa x wangu itakuwaje? vp nimwambie wifi yangu kama jamaa alikuwa x? ama kweli bongo kijiji sikulitegemea hili kabisa. Naombeni mawazo yenu naona huu mtihani utakuja kunikorofisha na familia mbeleni japo sina wazo wala siwezi kudate tena na huyo X na wala hatukuwa na mawasiliano kwa almost 6 yrs.
 
And that is where the problem is...... KUMBUKA WE PREDICT THE FUTURE, BY KNOWING OUR PAST AND PRESENT.... Hata kama hapendi/hupendi kujuwa mwenzio alipita wapi, ni vizuri kufanya hivyo ili UWEKE MBALI NA TEMBO MAPEMAAAAAAA....

hahahahahaha! Du,kweli kabisa.
 
ina maana mme wako,mkewe ambaye ndio wewe kagegedwa na jamaa,na pia sasa anaenda kumgegedea na dada yake!khaaaa!mmeo akijua hilo atamchukia jamaa milele

mwambie mumeo,akijua mwenyewe ni mbaya sana
 
mungu atusaidie na sisi ambao atujaingia ktk ndoa, kama ingekuwa kila mtu aki do yule mtu aliye do naye jina lake linajiandika automatically usoni, kuna watu msingeolewa/kuoa
 
Ninaemuwaza hapa ni mume wangu mpendwa, akijua hili atalielewa kama ambavo wewe umelielewa?

...mlikpokutana na mumeo,, ulimwambia ulishakuwa mahusiano kabla?..... maana kama ulimwambia na huyo hakuwepo kwenye hesabu,,, ndo mtiti utaanzia hapo.... kama anajua na huyo yuko katika hesabu....duh pana kaugumu hapo dadangu.... mzee lazima aseme,, yaani alimla my wife then dadangu......... chuna mwanakwetu....mbele kwa mbele...
 
mungu atusaidie na sisi ambao atujaingia ktk ndoa, kama ingekuwa kila mtu aki do yule mtu aliye do naye jina lake linajiandika automatically usoni, kuna watu msingeolewa/kuoa

Hivi kwa mfano kila mmoja wetu angekuwa anabadilisha pichu na kila aliyegegedana naye, ungekuwa na ngapi za jinsia nyingine hadi leo..???
 
waoane wasioane hayakuhusu. Unaweza tu kumwambia mumeo kuwa huyo ni ex. Ila kama huna hisia nae kwa nini upaniki?
 
Ex kumuoa wifi yako hayakuhusu. Just to be on the safe side mwambie mume wako akae akijua. As for wifi, huna haja ya kumwambia, mtu wake atamwambia mwenyewe akiona kuna umuhimu wa yeye kujua.
Because he was your ex and he is now part of the family ni bora ku-avoid kua nae karibu, kuzungumza nae in private na mengine kama hayo. Soon utasahau kua mliwahi ku-date.
Nafikiri hakuna haja ya kumwambia maana itakuwa ni sawa na kuamsha maiti, ila hapo kwenye red ndio muhimu.
 
Sijui hata nianzeje tu. Nadhani ingekua vema ukamwambia mumeo , kwani si anajua uliwahi kua ktk mahusiano kabla ya kukutana nae na pengine ulimueleza jinsi mlivyo breakup . Sasa ndio muda muafaka wa kumwambia kua yule mtu uliebreakup nae ndio huyo. Si vizuri kumficha mumeo weka mambo wazi ili baadae isikucost na usimwambie ubaya wa huyo x wako haitakua vema wewe tafuta jinsi ya kujitoa tu . Waweza ulizwa maswali mengi juu ya tabia ya huyo mtu wewe jifanye hujui sana sababu ulikua sana close na ndugu zake na hivyo hukuweza kumjua sana.
 
Kwani kilichokuachanisha nae (X) ni nini, endapo ni jambo baya litakalo mwaribia maisha wifiyo basi mwambie, vinginevyo CHANGANYA ZAKo na ZAKE we songa mbele
 
Au kama vipi acha usimwambie baadae akija kukuuliza na kama ikitokea kajua basi huo ndio utakua wakati muafaka wa kumjulisha for now just keep quiet. Utaulizwa kwanini hukusema toka mwanzo wewe utawaambia hukuona kama palikua na umuhimu. Manake wanaume wengine wakorofi bwana na huwezi jua ukorofi wake mpaka kue na jambo la kuattract temper yake
 
Sioni tatizo katika xbf kumuoa wifi yako. Maana mliishaachana muda mrefu na wewe kupata mme. Wasiwasi wako ni nini? Au una agenda ya siri?

Kama kuna kitu unakiona kuwa kikwazo kwa wifi yako hasiolewe na jamaa huyo funguka ili ndoa hiyo isije leta shida kwa wifi yako mbale ya safari.
 
Back
Top Bottom