Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
kwa upande wangu naona ningekuwa na amani sana kama nikimwambia husband..... wengine hawanihusuhuna haja ya kumwambia yeyote, just watch ur movment currently mek sure huna mawasiliano wala makutano tatanishi na huyo x, mme wako hawezi mek decision kwa base ya vilivyopita ataangalia currently unamuhandle vipi huyo x.