Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,096
Majina gani bwanaa! Mwapendwa hampendeki ! Pdidy umekuaje?
Apendwe amekua pesa?
Majina gani bwanaa! Mwapendwa hampendeki ! Pdidy umekuaje?
Muda wa kula-laaa! Acha basi kuvungavunga na kujibaraguza! Jibu hoja! Mshikadau ashakufia! Wajua kumuanzishia mtu Thread si kitu mzahamzaha, hivihivi waja sikia mtu kajitundika! Mwaka mpya ! Issues mpya!
Mkuu Lizzy anakupenda ila anazunga tu.
Boy: can i have a HUG ?
Girl : no !
boy : did you hear what i say ?
girl : yes
boy : what did i say?
girl : can i have a HUG?
Boy : yes yes you can
Mkuu Lizzy anakupenda ila anazunga tu.
Boy: can i have a HUG ?
Girl : no !
boy : did you hear what i say ?
girl : yes
boy : what did i say?
girl : can i have a HUG?
Boy : yes yes you can
Mtaani kwenu wote huitikia ndioWazugaji wanaishia mtaani kwenu.
Wengine tulifundishwa maana ya hapana ni HAPANA na sio NDIO!!
siyo unaguna,we ungejibujemhhhhhh
Mtaani kwenu wote huitikia ndio
siyo unaguna,we ungejibuje
Boy: can i have a HUG ?
Girl : no !
boy : did you hear what i say ?
girl : yes
boy : what did i say?
girl : can i have a HUG?
Boy : yes yes you can
Wazugaji wanaishia mtaani kwenu.
Wengine tulifundishwa maana ya hapana ni HAPANA na sio NDIO!!
Hapana nini sasa? TF keshalala..... we ajia bodi hilo!!
kwani lizzy ni mali ya TF?????
Hapana nini sasa? TF keshalala..... we ajia bodi hilo!!
Apendwe amekua pesa?
Sijui.Hivi wajua kwamba duniani ni vitu viwili tu (ndiyo wachezaji nyota) vipendwavyo kuliko vyote! Kesi zote duniani 98% about, zinahusiana navyo!
Mali nimekua debe la mchele?
oooh maaamaa.....kwa melody sound ya kisharobaro!!! (sosi; jajimenti)
Hapana nini sasa? TF keshalala..... we ajia bodi hilo!!