Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
kwani lizzy ni mali ya TF?????
hahah we muulize tu kongosho atakwambia vizuri!!
kwani lizzy ni mali ya TF?????
Hapo hata ukinipa na pesa SITAKI!!
Wala sio wapili, thread nyingine zipo mbali huko.Alafu hua una kimzizi au maufundi gani ? Mbona huyu amekua wa pili anakushukia kihivi ? Au mambo ya kwa Bibi Sumbawanga ?
Ya kweli haya jamani??, hahahah Pdidy kaza mwendo aisee!! 2012 yako na Lizzy.....
hahah we muulize tu kongosho atakwambia vizuri!!
naenda kusema kwa jirani kila siku nyumbani ni bifu
afu huyu unampa kuku
na hug hadharani
hadi TF kawa mshika mapembe
yasome hayo maneno kwa melody ya ule wimbo
Wala sio wapili, thread nyingine zipo mbali huko.
Watu wanataka LIKE na THANKS za bure. . . .
Umeamka? Sijui ulizimikia wapi ! Kama umeamka cheza nao, acha na mie nishushe net
Kichwa cha. . . .nani na nani?yale mashushu unadhani kazi ndogo
kuyavumilia hadi uwe na kichwa cha mwendawazimu
kama ......
Huu ulabu ambao haujapita TBS una matatizo yake
Kwahiyo!??
Wasionavyo hivyo hawaishi?
Wewe ndio wao hata uamue wanachoishi?Hawaishi "maisha bora" wao ni "Bora maisha" Tunda halina tija kwa tunda lenzake! Na kwenye mizoga ndiko wendako Tai.
Ya kweli haya jamani??, hahahah Pdidy kaza mwendo aisee!! 2012 yako na Lizzy.....
Wakopaji vilevi ndivyo walivyo. . . .
Kilawalawa! Nilikua naanza kusinzia nikaona unawagaia tu watu mizigo! Tena ile ya ukweli, usingizi ukanipaa! Pdidy umemtupia Nyama!
Haya namie wanifikiriaje? Mbona umenivalia miwani ya mbao? Alaa! Nani kakwambia sijui/sitaki nami kugaiwa?