Wizi wa matela CRDB

Bila shaka vigogo ama wafanyakazi wa hii benki wapo humu ndani. ATM zenu zina shida gani leo wapendwa zaidi ya sehemu tatu hazitoi hela...issuer hayupo umezuiwa...sijui nini...kama kuna uharibifu au matengenezo muwe mnasema mapema hata kama ni breakdown ya muda tu...halafu kwa mfano unakuwa ushajaza kiasi halafu mashine isitoe ile hela ndio ishapotea au? Sim banking nayo haifanyi kazi duh...
 
Kuna mwizi mwingine CRDB Kahama mwezi uliopita alinipa hela pungufu.
Elfu 10, haikuwepo, niliruridi nikakuta nyomi ya watu na kwasababu nilikua na tiketi, nikaamua kuwahi basi.
Cha ajabu jamaa mwenyewe picha yake imetundikwa eti ni mfanyakazi bora.
 
BOA pale sinza kuna jamaa aliniibia nilimpa elfu tanotano akapunguza!
Nilikomaa akaitwa branch manager,nae akajifanya ooh hawezi kukuibia au kama vp mm nakuongezea!
nikamuuliza kwa siku utawaongezea wangapi?
Mbaya zaidi wakiona ni akaunti yako mwenyewe!Tamaa
 
Mkuu nimekugonga like moja ya nguvu sana..........muda so mrefu ntakutunuku shahada ya heshima ya uzamivu pamoja na saluti juu.
 
Kwa bahati nzuri mimi bado sijawahi kukutana na hawo waizi, ila ikitokea wakaniibia live, patachimbika!
 
mimi nimependa hiyo wanazeheka
 
Kwenye dola ndo balaa, utaambiwa hii mbona feki nk.Kumbe wanakuwa na dola feki humohumo vyumbani mwao...
 
Ttzo hili liliwahi nikuta CRDB KOROGWE! nikalianzisha nikakosa support ya watu wote ikiwemo mnagement. Na ipi ilikuta CRDB waterfront, milideposite 300,000 nikapewa receipt ya 30,000/= nikalianzisha, wakaniwekea sh 270,0000/=. Dawa yao ipo jikoni.
 
Kwenye dola ndo balaa, utaambiwa hii mbona feki nk.Kumbe wanakuwa na dola feki humohumo vyumbani mwao...

Mtego wao ni rahisi, andika namba kabla ya kuwapa fedha. Wakikwambia ama pungufu au feki, lianzishe. Hiyo ndo dawa yao, ORODHESHENI NAMBA ZA PESA ZENU?
 
Mtego wao ni rahisi, andika namba kabla ya kuwapa fedha. Wakikwambia ama pungufu au feki, lianzishe. Hiyo ndo dawa yao, ORODHESHENI NAMBA ZA PESA ZENU?

Andika izo namba ukiwa unaweka 5m
 

Duh! Mkuu maneno yako sheeeeeeedah
 

Kapo kengine pale Azikiwe Premier kanaitwa Haika...kadogo dogo hivi chocolate colour. Kaogope kama una ukoma, labda kama una pesa kidogo.....kama nyingi lazima kakupige
 

Uchi kwa laki mbili? duu! unaua bend, ahaa
 
Kapo kengine pale Azikiwe Premier kanaitwa Haika...kadogo dogo hivi chocolate colour. Kaogope kama una ukoma, labda kama una pesa kidogo.....kama nyingi lazima kakupige

Mhhh kuhusu huyo Aika wa CRDB Azikiwe, mdada anapiga kazi ile mbaya yuko super faster & smart. Napata kigugumizi, kwanza hausiki na malipo taslimu ataiba Cheque au Bank Balance?
 
Never Underestimate the Power of Stupid People in Large Groups

Kaka utingo mimi nimependa hayo maneno yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…