yericko nyerere 21:19 30th may 2014
professor muhongo anaumwa ugonjwa unaitwa grandiosity.
Grandiosity-refers to an unrealistic sense of superiority - a sustained view of oneself as better than others that causes the narcissist to view others with disdain or as inferior - as well as to a sense of uniqueness: The belief that few others have anything in common with oneself and that one can only be understood by a few or very special people.
Muhongo!!!!!!!!!!!!!
Msomi wa hovyo kuwahi kutokea hapa nchini. Bado tunayo safari ndefu sana, kama anaamua kusema uongo kwamba kesi ya iptl na tanesco imekwisha wakati mwezi huu (tano) wametangaza mawakili wao wapya watakao wawakilisha huko mahakama ya iscid baada ya kumpiga chini mkono,
mawakili hawa wamepewa tenda hiyo kwa dau lenye thamani ya 56 bilioni na jumatatu wanaweza kulipwa malipo ya awali ya kazi hiyo.
Soma taarifa hii ya serikali kuonyesha kuwa kesi haijaisha (imekatiwa rufaa)
by gov:
Huduma ya mawakili wa tanesco na serikali
kwa kuwa wakili wa tanesco (mkono & co advocates) hakuwa na lengo la kulinda maslahi ya serikali na tanesco, ni vema kuzingatia yafuatayo:-
i. Serikali na tanesco wasiendelee kuwakilishwa na huyo aliyekuwa wakili wao (mkono & co advocates);
ii.tanesco waanze taratibu za kumpata wakili mwingine mwenye uwezo na weledi wa kutosha ambaye ataitetea tanesco katika shauri lilopo kwa kulinda maslahi ya serikali na tanesco;
iii.taratibu za kumpata wakili mwingine ziharakishwe ili kuhakikisha kwamba wakili mpya anaanza kazi mara moja;
iv. Serikali na tanesco washiriki kikamilifu katika shauri hili ili kuhakikisha kwamba linaendeshwa kwa ufanisi utakaoleta lengo linalokusudiwa ili taifa lisiingie hasara.
Soma zaidi hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mawakili-wa-tanesco-na-akaunti-ya-escrow.html.
Kisha nakufunilia ukweli wa singasinga wanaemtumia ccm kuliibia taifa hili 200 bilioni.
Suala la wizi wa fedha tsh321bils ni hatari kwa taifa yapo mambo ya msingi kama ifuatavyo:
1.singh setth wa pap amesajiliwa kenya kama raia wa afrika kusini mwenye asili ya asia
3.singh sett wa pap amesajiliwa afrika kusini kama raia wa kenya mwenye asili ya asia
3.singh sett wa pap amesajiliwa tanzania kama raia wa tanazani mzaliwa wa ruvuma
4.singh sett alishirikiana na geodion moi mtoto wa rais mio kwa wizi wa us$600million na kuangusha serikali ya kanu
5.singh sett ametajwa kushirikinana ridhiwani kikwete na albert marwa ambae ndungu wa familia ya jk (mkwe) na kusababisha wizi wa tshs321bls
6.mwanamke mbunge wa uk alipambana sana kwenye bunge la uk wakati wa wizi wa fedha za rada ulifanyika na baye na hatimaye fedha zikarudi tanzania. Serous fraud ilikuja hapa na kuwadaka akina chenge na wizi ule lakini ccm ikawalinda.
7.leo ukawa wapewa document ya ukweli juu ya wizi wa akina werema na wametoka nje kushinikiza akina eliakimu maswi wakamatwe.
Ukweli ni kwamba benki ya standard chater ya uk imetapeliwa zaidi ya tsh1770bls na singh sett na wenzake (serikali ya ccm).
Serious fraut wapo hapa na kila kitu kinafahamika
8.kumufukuza balozi wa uk ni sawa na kumufukuza nzi badala ya kuondoa kinyesi.
Ccm na watawala wachague kuwatetea watuhumiwa kwa malengo ya kuangusha serikali nzima au kuwashughurikia watuhumiwa na kuokoa serikali