Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Hiyo group ya Albert, Ipyana, Mao, Abdu Msomali ilikua haikosi coco beach kwa Alphonce miaka ya tisini.

Yeah especially weekend ...na Magari mazuri Peogeot na mengine ...kuchukua watoto Wakali wa Zanaki,Kisutu,jangwani ,Tambaza .....Huku free style rap ...Yoooo Rap zikingurumaa tartibu ...muandaaji maarufu akiwa Kim and The Boys ....wa Magomeni ...ahaa .
Sasa na Enzi hizo watu wadigo Digo basi kila mtu anawashangaaa tu...!!! ...hapo dogo mwingine naye wa kishua akaanza kujichanganya nao Kinje!!!
 
Alikuwa na Pharmacy ya Day &Night pale namanga
Demu mkali
Sports car convertible

Mmmm hivi ile Pharmacy ilikuwaga ya Abdul Kweli ??? Nakumbuka Mle ndani kulikuwa na DEMU mmoja wa Masaki anauza ....basi nilikuwa naenda tu nimuone ..Ana figure nzuri Kweli ...mweupe ...
Abdul si Ndio waanzilishi wa Powder na Magari ya Inshu
 
Yeah especially weekend ...na Magari mazuri Peogeot na mengine ...kuchukua watoto Wakali wa Zanaki,Kisutu,jangwani ,Tambaza .....Huku free style rap ...Yoooo Rap zikingurumaa tartibu ...muandaaji maarufu akiwa Kim and The Boys ....wa Magomeni ...ahaa .
Sasa na Enzi hizo watu wadigo Digo basi kila mtu anawashangaaa tu...!!! ...hapo dogo mwingine naye wa kishua akaanza kujichanganya nao Kinje!!!

chief huyo mao alikuwa na mikasaaa balaaaa si wazee walimshayaaaa
 
Mmmm hivi ile Pharmacy ilikuwaga ya Abdul Kweli ??? Nakumbuka Mle ndani kulikuwa na DEMU mmoja wa Masaki anauza ....basi nilikuwa naenda tu nimuone ..Ana figure nzuri Kweli ...mweupe ...
Abdul si Ndio waanzilishi wa Powder na Magari ya Inshu

dah abdul alikuwa anamtumaga bro mmoja wakati huo huyo bro alikuwa form four kwenda india...
nikiwa chalu nilikuwa namuonaga anamfata huyo dogo wakati ule na range 4.0 kaandika jina lake
hahahaha
 
Mmmm hivi ile Pharmacy ilikuwaga ya Abdul Kweli ??? Nakumbuka Mle ndani kulikuwa na DEMU mmoja wa Masaki anauza ....basi nilikuwa naenda tu nimuone ..Ana figure nzuri Kweli ...mweupe ...
Abdul si Ndio waanzilishi wa Powder na Magari ya Inshu

Magomeni ndio kitovu cha powder Bongo.
 
chief huyo mao alikuwa na mikasaaa balaaaa si wazee walimshayaaaa

Duh JF kwa kuchimba ni balaa.Huyo Mao ni mdogo wake Michael Richard Wambura.Zamani hizo alikuwa akiishi hapo jirani na ofc za AAR,ambako sasa kumevunjwa,na mjengo wa nguvu unashushwa hapo.

Kimsingi JK aliumia sana kwa huyu dogo Albert Marwa kuzaa na Bint yake huyo.Huyu Albert amekula sana kodi za nchi hii kupitia uwakala wa kuendesha Duty Free shops,kwa ajili ya JWTZ.

Hii jeuri yote mnayoiona kutoka kwa AG,Muhongo,Maswi na wengine wote,inatokana na kinga waliyonayo kutokana na uhusika wa first family kupitia kwa Albert Mkwe Mkubwa wa first Family.

Muhongo amekuwa akiwaeleza wapambe wake kwamba,mwenye mamlaka yake ya uteuzi amemkataza kabisa kuachia ngazi,sasa hawa pimbi wengine uwezo huo wameutoa wapi ? Kwa kauli hiyo ni dhahiri hakuna suala la kuwajibishwa hapa.
 
Nchi imekosa mwelekeo,ubadhirifu huu wa tegeta escrow ni cancer itakayoua wote waliohusika na uharamia huu na itaanza na Kikwete,watz wapoteze maisha kwa kukosa dawa ilihali rais anashiriki kwenye ubadhirifu huu,ni nani wa kuisemea nchi hii iliyobaki kuwa shamba la bibi?
Cancer hii imeanza na Kikwete sasa itakula kila aliyehusika na dhambi hii

Ndugu yangu unaweza ukatofautiana na mtu kimtazamo lakini bado ukamkosoa kwa hoja bila kuingiza masuala ya ugonjwa wa mtu maana Cancer inaweza kumpata mtu yeyote(mimi, wewe na yule) bila hata kufanya dhambi yoyote hakuna anayependa maradhi inatokea tu, sasa wewe unaonyesha kufurahia wenzako kuumwa bila shaka utakuwa unafurahia hata vifo vya wenzako(this is animosity), binafsi najua mateso ya maradhi nilimuuguza baba yangu mzazi mwaka jana alikuwa anasumbuliwa na mapafu, akafariki dunia maumivu yake hayajaisha mpaka leo sasa ningesikia mtu anafurahia kuumwa kwake au kufariki kwake ningejisikia vibaya sana, hivyohivyo nawe pia utajisikia vibaya kama ndugu yako au mzazi wako atapatwa na maradhi au kifo lakini unaona vema wengine kuumwa na hata kufa as if wewe utaishi milele(sitetei maovu ya mtu hapa maana mimi siyo mwanachama wa CCM wala CHADEMA nk wala sijakukosoa kwa sababu labda nimenufaika na Escrow HAPANA simfahamu rais Kikwete zaidi ya kumuona kwenye TV na kwenye kampeni zake za urais lakini kuhusisha kuumwa kwake na siasa siyo utu ndugu yangu wako manabii na mitume waliotikisa ulimwengu kwa nyakati tofauti lakini waliumwa na kufa kwa hiyo kumshambulia Kikwete kwa maradhi yake siyo jambo jema)
 
Ni Mtanzania ni rightful son wa Maj Gen Marwa ....Sasa aende wapi ..?? Utanzania au kutokuwa haumuondolei Tabia yake ya slope

Ukitaka kujua uhusika wa Albert kwenye hii issue ya escrow,ni pale Stanbic Bank watakapo toa bank statement ya PAP,na PCCB watakapo mkamata singasinga ili awaeleze,ni akina nani walikuja na viroba,magunia nk kuchukua mgao kwenye zile 73b.

Lakini vilevile PCCB watakapo fuatilia na kuuambia umma wa WaTz ni nani hasa wamiliki wa simba trust account iliyofunguliwa Australia.

Hapo ndio mtajua nini maana ya kauli ya Muhongo kwamba,akiondoka serikalini kwenye nafasi yake kama waziri NCHI ITATIKISIKA
 
Ndugu yangu unaweza ukatofautiana na mtu kimtazamo lakini bado ukamkosoa kwa hoja bila kuingiza masuala ya ugonjwa wa mtu maana Cancer inaweza kumpata mtu yeyote(mimi, wewe na yule) bila hata kufanya dhambi yoyote hakuna anayependa maradhi inatokea tu, sasa wewe unaonyesha kufurahia wenzako kuumwa bila shaka utakuwa unafurahia hata vifo vya wenzako(this is animosity), binafsi najua mateso ya maradhi nilimuuguza baba yangu mzazi mwaka jana alikuwa anasumbuliwa na mapafu, akafariki dunia maumivu yake hayajaisha mpaka leo sasa ningesikia mtu anafurahia kuumwa kwake au kufariki kwake ningejisikia vibaya sana, hivyohivyo nawe pia utajisikia vibaya kama ndugu yako au mzazi wako atapatwa na maradhi au kifo lakini unaona vema wengine kuumwa na hata kufa as if wewe utaishi milele(sitetei maovu ya mtu hapa maana mimi siyo mwanachama wa CCM wala CHADEMA nk wala sijakukosoa kwa sababu labda nimenufaika na Escrow HAPANA simfahamu rais Kikwete zaidi ya kumuona kwenye TV na kwenye kampeni zake za urais lakini kuhusisha kuumwa kwake na siasa siyo utu ndugu yangu wako manabii na mitume waliotikisa ulimwengu kwa nyakati tofauti lakini waliumwa na kufa kwa hiyo kumshambulia Kikwete kwa maradhi yake siyo jambo jema)

Nalaila Kiula ni Ndugu yako ...
 
Duuu! Nasubiri season 2 ya sakata la eskrow....! Naona watu wanaunganisha dot mpaka mhusika anakaribia kupatikana.
 
Ndugu yangu unaweza ukatofautiana na mtu kimtazamo lakini bado ukamkosoa kwa hoja bila kuingiza masuala ya ugonjwa wa mtu maana Cancer inaweza kumpata mtu yeyote(mimi, wewe na yule) bila hata kufanya dhambi yoyote hakuna anayependa maradhi inatokea tu, sasa wewe unaonyesha kufurahia wenzako kuumwa bila shaka utakuwa unafurahia hata vifo vya wenzako(this is animosity), binafsi najua mateso ya maradhi nilimuuguza baba yangu mzazi mwaka jana alikuwa anasumbuliwa na mapafu, akafariki dunia maumivu yake hayajaisha mpaka leo sasa ningesikia mtu anafurahia kuumwa kwake au kufariki kwake ningejisikia vibaya sana, hivyohivyo nawe pia utajisikia vibaya kama ndugu yako au mzazi wako atapatwa na maradhi au kifo lakini unaona vema wengine kuumwa na hata kufa as if wewe utaishi milele(sitetei maovu ya mtu hapa maana mimi siyo mwanachama wa CCM wala CHADEMA nk wala sijakukosoa kwa sababu labda nimenufaika na Escrow HAPANA simfahamu rais Kikwete zaidi ya kumuona kwenye TV na kwenye kampeni zake za urais lakini kuhusisha kuumwa kwake na siasa siyo utu ndugu yangu wako manabii na mitume waliotikisa ulimwengu kwa nyakati tofauti lakini waliumwa na kufa kwa hiyo kumshambulia Kikwete kwa maradhi yake siyo jambo jema)

Hebu tuondolee povu lako unaandika pumba tupu nenda Muhimbili ukaone watu wanaokufa kabla ya muda wao halafu wewe unataka tuchekecheke na majambazi?

Mimi nikisia Jambazi Andrew Chenge amekufa tena nitafurahi akifa kwa kukatwa kichwa kwakweli nitafanya sherehe kubwa mtaani na nitawaalika watu waje kula na kunywa na tufunguwe shampeni jambazi sugu limeuwa na mzoga wake ukatupwe mto Rufiji mamba wapate chakula.
 
Mtazua sana!

Ninyi mbona mnajipenyeza sana kufahamika kwa Kagame?
 
Hebu tuondolee povu lako unaandika pumba tupu nenda Muhimbili ukaone watu wanaokufa kabla ya muda wao halafu wewe unataka tuchekecheke na majambazi?

Mimi nikisia Jambazi Andrew Chenge amekufa tena nitafurahi akifa kwa kukatwa kichwa kwakweli nitafanya sherehe kubwa mtaani na nitawaalika watu waje kula na kunywa na tufunguwe shampeni jambazi sugu limeuwa na mzoga wake ukatupwe mto Rufiji mamba wapate chakula.

hehehehehehe....watu tuna gazabu na wezi wa mali za umma watu wengine wana tetea
 
Hebu tuondolee povu lako unaandika pumba tupu nenda Muhimbili ukaone watu wanaokufa kabla ya muda wao halafu wewe unataka tuchekecheke na majambazi?

Hamia kwenye sayari ambako watu hawafi! Unataka kutuambia kuwa wanakufa sababu ya rais au maradhi yao, Kabla rais hajaingia madarakani hakukuwa na vifo? Kikwete amefanya kazi kubwa ya kuboresha huduma za afya ingawa kwa baadhi ya maeneo kuna changamoto za upatikanaji wa dawa za binadamu
 
Hebu tuondolee povu lako unaandika pumba tupu nenda Muhimbili ukaone watu wanaokufa kabla ya muda wao halafu wewe unataka tuchekecheke na majambazi?

Mimi nikisia Jambazi Andrew Chenge amekufa tena nitafurahi akifa kwa kukatwa kichwa kwakweli nitafanya sherehe kubwa mtaani na nitawaalika watu waje kula na kunywa na tufunguwe shampeni jambazi sugu limeuwa na mzoga wake ukatupwe mto Rufiji mamba wapate chakula.

Huyu anafikiri hatukumbuki Ndugu yake akifungwa kwa RUSHWA ...imagine akahongwa viti senti vidogo ...na Vibasi ..sijui vikiitwa BNNN ..Viki ply Mwenge - Posta ...na mkewe akapigwa safari ya Kuosha masho Japan ....all that at expense of DAR ES SALAAM ROAD UPGRADE MAINTANCE PROGRAM ....YA MID 90s....
Mwenzake Eng Mlingwa ...mjanja Siku hizi ni mkulima mkubwa tu wa miwa ....yeye ni mtumishi wa kwa mama rwaks

Acha awadanganye wenzake nao wakanyee DEBE Segerea Kama Mzee wao
 
Hamia kwenye sayari ambako watu hawafi! Unataka kutuambia kuwa wanakufa sababu ya rais au maradhi yao, Kabla rais hajaingia madarakani hakukuwa na vifo? Kikwete amefanya kazi kubwa ya kuboresha huduma za afya ingawa kwa baadhi ya maeneo kuna changamoto za upatikanaji wa dawa za binadamu

weee ni zaidI ya stupid yaani wee unasema kikwete kafanya huduma ya afya iko nzuri
 
Back
Top Bottom