Hahahaha...... Hiyo mambo ya kuiba kura peleka kule jukwaa la mastress wakaidiskasi kwa mapovu........ Hapa tujadili hiyo mokasini, ukitaka uitwe mheshimiwa labda ukaazime ya Mbu. Hivi siku hizi yuko wapi huyu mtu?.........BTW ile tabia yako ya kukaribisha wanachama wapywa wa JF wenye ID ya kike umeshaacha? Kabla bado nakushauri uwakaribishe kwa mkwala kuwa wewe ni MOD na wasipokuita Mheshimiwa utawahamishia fesibuku au Michuzi blogu wakauze sura..........
Hivi hapa tupo jukwaa gani vile?
Nitendee heshima kwa kuniita mheshimiwa. Na hiyo kesi si itasikilizwa na mheshimiwa hakimu?.....Hivi Nyerere alikuwa mheshimiwa au Ndugu?
Hahahaha...... Hiyo mambo ya kuiba kura peleka kule jukwaa la mastress wakaidiskasi kwa mapovu........ Hapa tujadili hiyo mokasini, ukitaka uitwe mheshimiwa labda ukaazime ya Mbu. Hivi siku hizi yuko wapi huyu mtu?.........BTW ile tabia yako ya kukaribisha wanachama wapywa wa JF wenye ID ya kike umeshaacha? Kabla bado nakushauri uwakaribishe kwa mkwala kuwa wewe ni MOD na wasipokuita Mheshimiwa utawahamishia fesibuku au Michuzi blogu wakauze sura..........
Hivi hapa tupo jukwaa gani vile?
Hehehheh mheshimiwa Bht bana!
Hahahaha...... Hiyo mambo ya kuiba kura peleka kule jukwaa la mastress wakaidiskasi kwa mapovu........ Hapa tujadili hiyo mokasini, ukitaka uitwe mheshimiwa labda ukaazime ya Mbu. Hivi siku hizi yuko wapi huyu mtu?.........BTW ile tabia yako ya kukaribisha wanachama wapywa wa JF wenye ID ya kike umeshaacha? Kabla bado nakushauri uwakaribishe kwa mkwala kuwa wewe ni MOD na wasipokuita Mheshimiwa utawahamishia fesibuku au Michuzi blogu wakauze sura..........
Hivi hapa tupo jukwaa gani vile?
Nitendee heshima kwa kuniita mheshimiwa. Na hiyo kesi si itasikilizwa na mheshimiwa hakimu?.....Hivi Nyerere alikuwa mheshimiwa au Ndugu?
kwa maelezo aliyoandika Sipirini mi naangukia gurupu la kina invizibo
Mheshimiwa mwalimu au Ndugu mwalimu?Nyerere alikuwa MWALIMU
Hahahaha...... we ndo umegonga ikulu....FYI Mheshimiwa akifa ndo anaitwa Hayati........... Siye tusio waheshimiwa tunaitwa Marehemu tukifa....babu, mh hayati mwl j k nyerere alikuwa mtukufu. huoni hana kashfa nyingi nyingi!
halafu, hivi mtu akifa ama kuwa hayati bado anaendelea kuwa mheshimiwa?
Huyu naye akiRIP atakuwa Marehemu........ Uhayati awaachie kina Paw wakifa (Hope sitakula ban hapa)Invizibo kijijini kwao anaonekana kuliko Mandela, akienda njia zote zinafungwa, kwa mwaka anafanyiwa besdei mara 2, eti kwasababu kaanzisha JF.
Invizibo kijijini kwao anaonekana kuliko Mandela, akienda njia zote zinafungwa, kwa mwaka anafanyiwa besdei mara 2, eti kwasababu kaanzisha JF.
Mheshimiwa mwalimu au Ndugu mwalimu?
Hahahaha...... we ndo umegonga ikulu....FYI Mheshimiwa akifa ndo anaitwa Hayati........... Siye tusio waheshimiwa tunaitwa Marehemu tukifa....
Ushahidi huu:
Hayati baba wa taifa mwl JK Nyerere
Hayati rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Aman Karume
Hayati Sokoine
Marehemu Nyagungwe ameacha mke na watoto kazaa
Marehemu Shekabula alikuwa chapakazi na mtiifu kwa uongozi
Marehemu Chokambele ameacha wajane watatu na nyumba ndogo mbili
Huyu naye akiRIP atakuwa Marehemu........ Uhayati awaachie kina Paw wakifa (Hope sitakula ban hapa)
Hahahaha...Marehemu bht, marehemu Asprin, Marehemu Klorokwini, Marehemu JF MMU members isipokuwa..........ngoja nimstahi....Biggy umenichekesha
hayati ndo waheshimiwa waloaga dunia
marehe ndo akina yakhe hapa....duuh
King'ast kakupotosha...mtukufu alikuwaga yule wa Kenya (baba Moi...lol! hivi na Kibaki ni mtukuka?)
Nyerere alikuwaga 'Ndugu Mwalimu'
Utafiti uliofanywa na malaika mbinguni.......hakuna Hayati atakayeuona ufalme wa mbinguni......... ndo maana tunafanya mchakato wa kumtoa Nyerere kwenye Uhayati na kumbatiza umarehemu........hahahaah dah! nimecheka kwa laudi speaker aisee!
hakyababu anaesema fellow tablet katulia basi anapata zambi!
usimsahau pia merehemu nyani ngabu! marehemu uporoto, marehemu Lizzy, marehemu bht na husninyo! khaaa! yaani JF hatuna hayati hata mmoja?
Eti wanasema "Heshima ni kitu cha bure", mbona sisi walalahoi hatuitwi "waheshimiwa"? au hatustahili "heshima" au "kuheshimiwa" ?
Wanasiasa bana!
Nilikuwepo!
wasalimieni JF Chit Chat
Hahahaha...Marehemu bht, marehemu Asprin, Marehemu Klorokwini, Marehemu JF MMU members isipokuwa..........ngoja nimstahi....
Utafiti uliofanywa na malaika mbinguni.......hakuna Hayati atakayeuona ufalme wa mbinguni......... ndo maana tunafanya mchakato wa kumtoa Nyerere kwenye Uhayati na kumbatiza umarehemu........
basi huyo sio mwenzangu...mi hata kijarida tu sina...
ngoja akusikie kama hajakunyang'anya zile ndaba zake za kuchumpa ulizoazima siku ile unaenda kwao Husninyo.
Ngoja nikaogee magadi dada angu usijeitwa mhishimiwa. Nakuhitaji sana mbinguni.... Sauti yako inafaa sana kuitikia chorus wakati tunamwimbia Mungu.... Mungu anaweza kufurahi akahamishia TBL/SBL mbinguni..... Halafu kule kwa kina hayati akapunguza bei ya mafuta ya Ngeleja ili mahayati wapigwe moto wa uhakikayeomii yaani jamani khaaa!!
hebu uchuro sitaki mimi usiniite marehemu, unajuaje labda wakati wa kufa ntakuwa kwenye daraja la hayati!!!
kwa hiyo mchakato mzima wa kumnusuru mwalimu umefikia wapi? lol usamehewe tu wewe tena bure bila senti
afu huyo 'ISIPOKUWA' hebu mtaje basi tumfahamu...
Acha aninyang'anye tu, ndaba zenyewe nuksi, zilinipigisha kibuti bana!
Hakimu yeyote yule anaitwa mheshimiwa(kumbuka hili)
Ngoja nikaogee magadi dada angu usijeitwa mhishimiwa. Nakuhitaji sana mbinguni.... Sauti yako inafaa sana kuitikia chorus wakati tunamwimbia Mungu.... Mungu anaweza kufurahi akahamishia TBL/SBL mbinguni..... Halafu kule kwa kina hayati akapunguza bei ya mafuta ya Ngeleja ili mahayati wapigwe moto wa uhakika
Twakuomba utusikie!
Kama ulitoa hukumu kama ya kina Mwanajamiione wewe si mheshimiwa lakini kama ni kama ya kina Kiranga, we ni mheshimiwa. Ukifa utakutana na kina Adolfu Hitla kwenye kambi za mahayati.......kwa kiswahili cha kwenye dikshineri kabisa, hata mimi ni Hakimu, jana niliwahukumia majirani waliopigana chabo na wakarizika na hukumu yangu, je namimi ni mheshimiwa? Au unakusudia Hakimu wa Kisutu tu na mahakama za kiserikali ?