Wakuu
Hua kuna vitu vidogo vidogo sana ambavyo mamlaka za serikali zikishirikuana wanaweza kuokoa maisha ya Watanzania.
TFDA na TBS wameshindwa kufahamu kua dawa za meno zenye content ya Flouride sio nzuri kiafya na ni sumu kali.
Je kwa nini msijifunze kwa mataifa ambayo dawa zao za meno ni marufuku kua na Flouride na Dawa ikiwa na Flouride ni For Export Only.
Wataalamu wetu sijui mnakwama wapi kwenye kulisaidia Taifa na Kuokoa nguvu kazi ya Taifa
Hua kuna vitu vidogo vidogo sana ambavyo mamlaka za serikali zikishirikuana wanaweza kuokoa maisha ya Watanzania.
TFDA na TBS wameshindwa kufahamu kua dawa za meno zenye content ya Flouride sio nzuri kiafya na ni sumu kali.
Je kwa nini msijifunze kwa mataifa ambayo dawa zao za meno ni marufuku kua na Flouride na Dawa ikiwa na Flouride ni For Export Only.
Wataalamu wetu sijui mnakwama wapi kwenye kulisaidia Taifa na Kuokoa nguvu kazi ya Taifa